Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
poleni wanafamilia
Hii taarifa nimepigiwa simu sasa hivi kutoka Reliable source yangu na sina shaka yoyote na taarifa hii, inasemekana eti ameuwawa na majambazi akitoka katika kikao cha harusi.
Kama mtakumbumbuka ni juzi tu Kamanda wa uhamiaji wa mkoa wa Mwanza alimiminiwa risasi tano na RCO eti kwa kumzania ni jambazi!! Mwanza kuna tatizo.
My take: Angekuwa ni Kamuhanda leo ningenunuwa Champagne kusherehekea.
Nakala kwa Mzee Mwanakijiji.
Mungu amesikia sara ili rais aweze kufanya mabadiriko ya utendaji wa polisiMzee Mwanakijiji habari hii kwangu mimi siyo mbaya kabisa na inawezekana mungu kaamua kutulipia kila mara wana uwa wanatesa watu wetu hakuna hatua sutahi zinazochukuliwa sana sana wanapandishwa vyeo tu..
HIyo ni kazi ya ndani kuliko ya nje ya polisi na intelijesia, juzi intelijensia ilikosea na kukaribia kusababisha kifo cha afisa mwezao, jamaa akatoa majibu mepesi, sasa leo imekosea tena ila this time haijaacha mtuNi kweli kabisa mkuu, ni heri tusubiri kusikia ukweli wa mambo ukoje.
ni jambo la kusikitisha sana lakini wengi wetu tumeonya kuwa sasa Jeshi letu la Polisi nchini lina walakini.
Majambazi kwa vyovyote wana mitandao ambayo polisi wanaifahamu na kujua vyanzo vyake. Isije ikawa dili za kulipizana visasi ndio zinajitokeza.
Ni juzi tu kama si jana, tulisikia Mkuu wa Uhamiaji akimiminiwa risasi hukohuko Mwanza, eti kwa kudhaniwa ni jambazi.
Imani yetu kwa Polisi inazidi kuporomoka.
Hata hivyo RIP Kamanda Barlow.
Rip Kamanda Barlow,you were my icon!
Kama kweli basi ni good news ingawa hatujui ni risasi ya nani. Daudi Mwangosi huko alipokuwa atakuwa anatasamu. Ingekuwa Kamuhanda nadhani wengi tungefanya sherehe ya kukata na jembe. Rest In Hell (RIH) Ballow.
Hivi RCO huwa anaendesha gari mwenyewe?
Inakuwaje waseme majambazi ni kuwa wanawafahamu hao majambazi?
Je dda yake hajakoswa hata na risasi?
Tutaaminije kama ni majambazi wamefanya hilo tukio vp kama ni askari mwenzake au alikuwa anahatarisha usalama wa nchi
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
RIP, taarifa za awali zinaonyesha CHADEMA watakuwa wamekodisha majambazi ili wamuue
sipendi unafiki kabisa yesu yesu nini yeye alitaka kuwauwa wabunge wetu leo kauwawa una ita yesu yesu nini malipo ni hapa hapa duniani alaah! bado Andengenye, Shilogile na Kamhanda
Sikuungi mkono kabisa mkuu huwezi kukaa ukafurahia kifo kama tukienda kwa visasi vya mtindo huu kama unavyotaka wewe sidhani kama nchi hii itatawalika kikubwa ni kurekebishana tabia tu na uchaguzi na demokrasia ndio njia pekee ya wananchi kufanya maamuzi tukimuombea kila mtu afe katika nchi hii utajikuta hata wewe kuna watu wanakuombea ufe na ukifa watafurahi kwa hiyo tujitahidi tu kurekebisha hii mifumo ya kiutawala kwa njia za kidemokrasia
ni wewe kabisa umeua bila shaka yoyote.mzimu huu utakutafuna maisha?kwa nini wadhani ni majambazi always?.