Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,927
What a sad day for my country. Inashtusha na kusikitisha. RIP ila hii habari haijawa sawasawa tusubiri kidogo giza liishe na ukungu wa kutokujua utoweke. Kusema wameuawa na "majambazi" ni rahisi sana na haraka. Sijui polisi wamejuaje ni majambazi. Alikuwa ameenda kuvamiwa? Alikuwa nyumbani kwake au huko kwa dadake akimteremsha? Inanikumbusha mauaji ya Prof. Mwaikusa....