mwmbeki
Member
- Apr 8, 2017
- 91
- 124
Wasaalam wanabodi,
Moja kwa moja kwenye mada:
Nilipokuwa ADVANCE MALANGALI SEKONDARY (Mafinga Iringa) nilipata kusoma vitabu tofaut tofauti vya historia, baadh vikizungumzia sifa za majeshi.
Gervas zombwe alibainisha sifa za askari police kama ifuatavyo
1. Igronance,( ujinga) askari Polisi haitaji kuwa na elimu kubwa,kwani kufanya hivyo ni kuwafanya wajitambue hivyo kuhoji mambo muhimu.
2. Psycophance(yes yes man) yaan polisi kafundishwa kusema ndio tu kutoka kwa mtu anayemzid cheo.
3, Much energy as opposed to brain( nguvu kubwa kuliko akili....
Zombwe aliandika mi nafupisha tu)
Nini kimenituma kuandika haya?
Nimeyadhitisha katika awamu hii ya utawala, nimeamini kuwa hizo hoja ni za kweli kabsa.
Watu hawa wameonyesha ujinga wa hali ya juu,hasa viongozi wa juu wa watu hawa, Ni viazi,mbumbumbumbumbuuuuuu kabisa mfano
kiongozi wa mkoa wa Polisi (R.P.C)anawakamata watu anaita vyombo vya habari na kuwahukumu.
Yeye ni mahakama? si wote wanaokamatw na jeshi la polisi wana makosa..kesi inaenda mahakamani kusikilizwa na hakimu
hii imenipia taswira na kilichoandikwa na zombwe ni kwel huu ni ujuha wa hali ya juu.
Mimi ni bora nipige debe kuliko kuwa na kazi ya kuwindana na binadamu wenzako kwa manufaa yasiyo ya kwako..
Moja kwa moja kwenye mada:
Nilipokuwa ADVANCE MALANGALI SEKONDARY (Mafinga Iringa) nilipata kusoma vitabu tofaut tofauti vya historia, baadh vikizungumzia sifa za majeshi.
Gervas zombwe alibainisha sifa za askari police kama ifuatavyo
1. Igronance,( ujinga) askari Polisi haitaji kuwa na elimu kubwa,kwani kufanya hivyo ni kuwafanya wajitambue hivyo kuhoji mambo muhimu.
2. Psycophance(yes yes man) yaan polisi kafundishwa kusema ndio tu kutoka kwa mtu anayemzid cheo.
3, Much energy as opposed to brain( nguvu kubwa kuliko akili....
Zombwe aliandika mi nafupisha tu)
Nini kimenituma kuandika haya?
Nimeyadhitisha katika awamu hii ya utawala, nimeamini kuwa hizo hoja ni za kweli kabsa.
Watu hawa wameonyesha ujinga wa hali ya juu,hasa viongozi wa juu wa watu hawa, Ni viazi,mbumbumbumbumbuuuuuu kabisa mfano
kiongozi wa mkoa wa Polisi (R.P.C)anawakamata watu anaita vyombo vya habari na kuwahukumu.
Yeye ni mahakama? si wote wanaokamatw na jeshi la polisi wana makosa..kesi inaenda mahakamani kusikilizwa na hakimu
hii imenipia taswira na kilichoandikwa na zombwe ni kwel huu ni ujuha wa hali ya juu.
Mimi ni bora nipige debe kuliko kuwa na kazi ya kuwindana na binadamu wenzako kwa manufaa yasiyo ya kwako..
