Royal Tour: Wacheni Tuseme Ukweli

Royal Tour: Wacheni Tuseme Ukweli

Wavimba macho kujitia ujuaji hata kwenye fani wasio na utaalamu nayo.
Mleta mada aweke qualifications zake kwenye film industry. Na madai mengi kuhusu wakuu wa Nchi kama ndio kwanza imefanyika Tanzania.
Mleta mada aweke qualifications zake kwenye film industry.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hivi mleta mada ushawahi kuiangalia Royal Tour film ya Rwanda? Je Kagame hakuwepo kwenye filamu? Tatizo lenu dada zetu wa siku hizi kila kitu mnakichukua kimipasho mipasho ilimradi na nyie muonekane kuwa mnajua kusuta.

Unaweza kukuta mleta mada ni raia wa nchi nyingine hivyo maendeleo yoyote kwa Tanzania ni sawa na msumali wa moto katikati ya makalio yake. Shem on you poor girl. JF imeingiliwa na mabinti wa mipasho na wanaharakati koko.
Definitely
 
Mleta mada aweke qualifications zake kwenye film industry.
Achana na film industry hapa tunaongelea sekta ya utalii na gharama za kutengeneza hiyo film pamoja na umiliki wake?

Masuala ya vyeti Tanzania vimejaa ila havina thamani wala Soko.

Kama unabisha beba vyeti vyako uingie Kenya kutafuta kazi!
 
Huyo ndio muongoza filamu mkuu.
Mkuu upo sensitive na active ambazo zinasupport your arguments ingawa ulidai ni open discussion ila it seems you made your mind kwa ulichokiandika.
 
Wabongo hata leo NEWTON AKIFUFUKA watabishana naye kwenye zile laws of motion au Archmedes na the law of floatation yake...

Sisi ndio sisi hata ile S400 ya Russia tunaweza kusema Mrusi fala tu ile teknolojia amejifunzia pale matimila Songea...
 
Definitely
Kagame anacheza another level hata matangazo yake anaweka kwenye sehemu za kijanja.

Acha kuongea kule tulikoshindwa kujaribu, ndio maana hakumpenda kikwete shauri ya upigaji wake.

Mwambie mwenzio aelewe hilo.
 
Siku ya uzinduzi filam ilipata more than 3m viewers world wide.

Tuache ramli tusubiri matokeo.
At least, Mama Samia kajaribu kufanya kitu.

Kwa taarifa yako tu Wazungu wengi walijua Mlima Kilimanjaro uko Kenya hapo nyuma, Walijua Tanzanite inatoka Kenya na India n.k

Sasa tusipoitangaza Nchi tutaendelea kupigwa.

Raisi kaanza kwa kadri aliweza. Badae wataboresha zaidi. Sio Jambo la kubeza hata kidogo. Labda una lako Jambo.
Alizidiwa hadi na zuchu??3m per day
 
Director Royal Tour Tanzania ni John Feist.Ni filamu ya saa 1 inayoonyesha Tanzania kwa namna ya kipekee sana.
Kuanzia Zanzibar,Dar essalaam ,Kilimanjaro na mbuga za Serengeti.
Nimeingalia na nina hakika italeta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya utalii.
Wenye wasiwasi wao reserve your comments mpaka mtakapo jaliwa kuiona.
Ingia Amazon uburudike na kujivunia Nchi yetu.
 
Wazo lilikuwa zuri, lakini mleta wazo katuzidi ujanja.

Unapotengeneza filamu ambayo ni andishi la kitaaluma na kibiashara,tulipaswa kutanguliza taaluma zaidi kuliko siasa.

Mwanasiasa anaweza kukumbwa na kashfa au dosari za kiuongozi na kupelekea kupoteza soko kusudiwa baada ya kususiwa kote ilikotangawzwa na kuvuma. Huo ndio utamaduni wa wazungu.

Tulipaswa pia kuzilenga taasisi kubwa zilizobobea katika taaluma hiyo Duniani kama vile National Geographic au Animal Planet ambazo tayari zinajiendesha kupitia Vituo vyao binafsi vya kurushia Documentary zao Dunia nzima. Na zinaangaliwa na mamilioni ya watu Duniani kila siku.

Huyu Peter Greenbag hana Impact kubwa Duniani kama ambavyo ametuingiza mkenge kumdhania. Unaweza kutafakari hilo kwa kujiuliza aina ya watu ambao wamehudhuria uzinduzi wake huko Marekani.

Pia jiulizeni kwamba,inakuwaje utengeneze filamu ya kukutangangaza kibiashara,halafu unaiingiza Sokoni Amazon kuiuza.

Badala ya wewe Mtangazaji wa biashara yako ndio uwalipe wao ili wakutangaze.eti wewe ndio unaliuza tangazo lako kwa wateja.

Lengo likiwa kujulikana zaidi na hivyo kuvutia wateja kuja kuyaona yale uliyoyatangaza kupitia filamu yako.

Unapoanza kwa kuiuza bila kujua kama ita hit kwenye mauzo au la! Hii inaleta maswali mengi kuliko majibu.

Pia ingekuwa vema Rais angeambatana na wataalamu wa fani ya utalii pamoja na wabobezi wa African Wildlife Management.
Ambao tungewaona bega kwa bega na Rais wetu,wakimsaidia kujibu maswali na kukidhi kiu ya waulizaji. Kwa kujikita zaidi kitaaluma na kitakwimu sahihi. Hususan kwenye hafla za uzinduzi.

Ambapo majibu yao ya kitaaluma yangeongeza chachu ya watu kuitamani zaidi filamu ili wajionee uzuri wa Tanzania.

Tofauti na kilichofanyika kwa kwenda kumpambanisha Rais wetu,ambaye kitaaluma sio fani yake.

Hapo tayari umemchezesha Bahati Nasibu rais na watanzania bila kujua wala kupenda.

Hapo ni wazi kwamba waandaaji wameutumia muda wa Rais kwa manufaa yao zaidi.

Boston ndio mji ambao ni kitovu cha utalii na taasisi za utalii na wadau wake nchini Marekani.hasa kuhusu utalii wa nje ya Marekani kama Afrika na kwingineko.
Kuliko New York au Los Angeles

Hivyo ingekuwa vema uzinduzi ule ukafanywa katika mji huo,kuliko kwenye jiji la New York ambalo halina sifa ya utalii zaidi ya kujaa watoto wa mjini.

Kwa nini hata hawakupata wazo la kuingia mkataba na mmojawapo wa wasanii maarufu nchini Marekani,ili waweze kurekodi pamoja na Rais wetu ili kuiongezea chachu na umaarufu kimataifa?

Rais Samia ni Maarufu Tanzania ndiyo.
Lakini hajawa maarufu kimataifa kwa kiwango cha kuwashawishi watu kumiminika kuinunua filamu yake kwa sasa.
Kama waandaaji na wapiga debe mnavyotaka kuiaminisha Dunia.

Will Smith ametengeneza filamu ndogo tu ya jinsi alivyotembelea Afrika na Tanzania ikiwemo na inaweza kuipiku kwa mbali sana hii ya kwetu.kulingana na jinsi inavyoshambuliwa huko Marekani kwa mauzo.

Tujaribu kidogo kumuangalia Kagame wa Rwanda jinsi anavyoitangaza nchi yake bila kuingiza sura yake hata kidogo na Rwanda inapaa kimataifa.

Madhara ya kumtumia Rais moja kwa moja,
Na kuihusisha serikali yake kwenye masuala ya matangazo hasa haya ya kitalii. Ni kwamba soko lake pia litategemea rekodi yake pamoja na serikali yake kiutawala.
Wazungu huwa wanapiga chini kila kitu pindi mhusika anapokumbwa na kashfa yoyote ile.

Nimalizie kwa kuitaka serikali isikie maombi ya watanzania kutaka watuweke wazi kuhusu gharama na umiliki wa filamu ya Tanzania Royal Tour.

Nimemaliza kuutumia uhuru wangu kikatiba.
Lengo ilikua wapige hela wao. Wameshapiga pesa hayo mengine ya Amazon ni mbwembwe za kupumbaza wajinga.
 
Director Royal Tour Tanzania ni John Feist.Ni filamu ya saa 1 inayoonyesha Tanzania kwa namna ya kipekee sana.
Kuanzia Zanzibar,Dar essalaam ,Kilimanjaro na mbuga za Serengeti.
Nimeingalia na nina hakika italeta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya utalii.
Wenye wasiwasi wao reserve your comments mpaka mtakapo jaliwa kuiona.
Ingia Amazon uburudike na kujivunia Nchi yetu.
Achana na huyu mleta uzi ni mbishi tu by nature maswali yake yote katika uzi wake yalishajibiwa ila anataka ligi tu.
 
Director Royal Tour Tanzania ni John Feist.Ni filamu ya saa 1 inayoonyesha Tanzania kwa namna ya kipekee sana.
Kuanzia Zanzibar,Dar essalaam ,Kilimanjaro na mbuga za Serengeti.
Nimeingalia na nina hakika italeta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya utalii.
Wenye wasiwasi wao reserve your comments mpaka mtakapo jaliwa kuiona.
Ingia Amazon uburudike na kujivunia Nchi yetu.
Je umiliki wake pamoja na gharama husika vimewekwa wazi?
 
Kagame anacheza another level hata matangazo yake anaweka kwenye sehemu za kijanja.

Acha kuongea kule tulikoshindwa kujaribu, ndio maana hakumpenda kikwete shauri ya upigaji wake.

Mwambie mwenzio aelewe hilo.
Post yako hii tayari ishaonesha kuwa wewe ni raia wa nchi gani, na kwanini umeumizwa na ujio wa filamu hii. Poleni sana wewe na Kagame wako.
 
Viliwekwa wazi lini na wapi mkuu?
Ebu niwekee source ili niendeko na mimi please!
Rejea post #33 na majibu yaliwekwa kutokana na maswali uliyouliza kutokana na post yako #1
 
Wazo lilikuwa zuri, lakini mleta wazo katuzidi ujanja.

Unapotengeneza filamu ambayo ni andishi la kitaaluma na kibiashara,tulipaswa kutanguliza taaluma zaidi kuliko siasa.

Mwanasiasa anaweza kukumbwa na kashfa au dosari za kiuongozi na kupelekea kupoteza soko kusudiwa baada ya kususiwa kote ilikotangawzwa na kuvuma. Huo ndio utamaduni wa wazungu.

Tulipaswa pia kuzilenga taasisi kubwa zilizobobea katika taaluma hiyo Duniani kama vile National Geographic au Animal Planet ambazo tayari zinajiendesha kupitia Vituo vyao binafsi vya kurushia Documentary zao Dunia nzima. Na zinaangaliwa na mamilioni ya watu Duniani kila siku.

Huyu Peter Greenbag hana Impact kubwa Duniani kama ambavyo ametuingiza mkenge kumdhania. Unaweza kutafakari hilo kwa kujiuliza aina ya watu ambao wamehudhuria uzinduzi wake huko Marekani.

Pia jiulizeni kwamba,inakuwaje utengeneze filamu ya kukutangangaza kibiashara,halafu unaiingiza Sokoni Amazon kuiuza.

Badala ya wewe Mtangazaji wa biashara yako ndio uwalipe wao ili wakutangaze.eti wewe ndio unaliuza tangazo lako kwa wateja.

Lengo likiwa kujulikana zaidi na hivyo kuvutia wateja kuja kuyaona yale uliyoyatangaza kupitia filamu yako.

Unapoanza kwa kuiuza bila kujua kama ita hit kwenye mauzo au la! Hii inaleta maswali mengi kuliko majibu.

Pia ingekuwa vema Rais angeambatana na wataalamu wa fani ya utalii pamoja na wabobezi wa African Wildlife Management.
Ambao tungewaona bega kwa bega na Rais wetu,wakimsaidia kujibu maswali na kukidhi kiu ya waulizaji. Kwa kujikita zaidi kitaaluma na kitakwimu sahihi. Hususan kwenye hafla za uzinduzi.

Ambapo majibu yao ya kitaaluma yangeongeza chachu ya watu kuitamani zaidi filamu ili wajionee uzuri wa Tanzania.

Tofauti na kilichofanyika kwa kwenda kumpambanisha Rais wetu,ambaye kitaaluma sio fani yake.

Hapo tayari umemchezesha Bahati Nasibu rais na watanzania bila kujua wala kupenda.

Hapo ni wazi kwamba waandaaji wameutumia muda wa Rais kwa manufaa yao zaidi.

Boston ndio mji ambao ni kitovu cha utalii na taasisi za utalii na wadau wake nchini Marekani.hasa kuhusu utalii wa nje ya Marekani kama Afrika na kwingineko.
Kuliko New York au Los Angeles

Hivyo ingekuwa vema uzinduzi ule ukafanywa katika mji huo,kuliko kwenye jiji la New York ambalo halina sifa ya utalii zaidi ya kujaa watoto wa mjini.

Kwa nini hata hawakupata wazo la kuingia mkataba na mmojawapo wa wasanii maarufu nchini Marekani,ili waweze kurekodi pamoja na Rais wetu ili kuiongezea chachu na umaarufu kimataifa?

Rais Samia ni Maarufu Tanzania ndiyo.
Lakini hajawa maarufu kimataifa kwa kiwango cha kuwashawishi watu kumiminika kuinunua filamu yake kwa sasa.
Kama waandaaji na wapiga debe mnavyotaka kuiaminisha Dunia.

Will Smith ametengeneza filamu ndogo tu ya jinsi alivyotembelea Afrika na Tanzania ikiwemo na inaweza kuipiku kwa mbali sana hii ya kwetu.kulingana na jinsi inavyoshambuliwa huko Marekani kwa mauzo.

Tujaribu kidogo kumuangalia Kagame wa Rwanda jinsi anavyoitangaza nchi yake bila kuingiza sura yake hata kidogo na Rwanda inapaa kimataifa.

Madhara ya kumtumia Rais moja kwa moja,
Na kuihusisha serikali yake kwenye masuala ya matangazo hasa haya ya kitalii. Ni kwamba soko lake pia litategemea rekodi yake pamoja na serikali yake kiutawala.
Wazungu huwa wanapiga chini kila kitu pindi mhusika anapokumbwa na kashfa yoyote ile.

Nimalizie kwa kuitaka serikali isikie maombi ya watanzania kutaka watuweke wazi kuhusu gharama na umiliki wa filamu ya Tanzania Royal Tour.

Nimemaliza kuutumia uhuru wangu kikatiba.

Mkuu hapo tumeliwa kekundu. Hili wazo Mama alipewa na PK alipoenda kupiga nae picha kwenye kiwanda cha VW pale Kigali.
Yeye akakariri badala ya kuelewa kilichopo sasa tunapuyanga na kumpuyangisha HoS wetu huko.

PGg ni mpigaji na mfanyabiashara na si mtangaza utalii. Halafu wasaidizi sijui hawasaidii, ni kama RT inamtangaza SSH badala ya utalii wa TZ na vivutio vyake. Ni kama vile anatafuta appeal sijui akigombea kura atapigiwa na NY, LA ect ect USA badala ya TZ.

Ukiwaambia ukweli wanakasirika wanaona unapinga, this project is a big time failure. It adds little to No vale.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom