Royal Tour: Wacheni Tuseme Ukweli

Royal Tour: Wacheni Tuseme Ukweli

Wazo lilikuwa zuri, lakini mleta wazo katuzidi ujanja.

Unapotengeneza filamu ambayo ni andishi la kitaaluma na kibiashara,tulipaswa kutanguliza taaluma zaidi kuliko siasa.

Mwanasiasa anaweza kukumbwa na kashfa au dosari za kiuongozi na kupelekea kupoteza soko kusudiwa baada ya kususiwa kote ilikotangawzwa na kuvuma. Huo ndio utamaduni wa wazungu.

Tulipaswa pia kuzilenga taasisi kubwa zilizobobea katika taaluma hiyo Duniani kama vile National Geographic au Animal Planet ambazo tayari zinajiendesha kupitia Vituo vyao binafsi vya kurushia Documentary zao Dunia nzima. Na zinaangaliwa na mamilioni ya watu Duniani kila siku.

Huyu Peter Greenbag hana Impact kubwa Duniani kama ambavyo ametuingiza mkenge kumdhania. Unaweza kutafakari hilo kwa kujiuliza aina ya watu ambao wamehudhuria uzinduzi wake huko Marekani.

Pia jiulizeni kwamba,inakuwaje utengeneze filamu ya kukutangangaza kibiashara,halafu unaiingiza Sokoni Amazon kuiuza.

Badala ya wewe Mtangazaji wa biashara yako ndio uwalipe wao ili wakutangaze.eti wewe ndio unaliuza tangazo lako kwa wateja.

Lengo likiwa kujulikana zaidi na hivyo kuvutia wateja kuja kuyaona yale uliyoyatangaza kupitia filamu yako.

Unapoanza kwa kuiuza bila kujua kama ita hit kwenye mauzo au la! Hii inaleta maswali mengi kuliko majibu.

Pia ingekuwa vema Rais angeambatana na wataalamu wa fani ya utalii pamoja na wabobezi wa African Wildlife Management.
Ambao tungewaona bega kwa bega na Rais wetu,wakimsaidia kujibu maswali na kukidhi kiu ya waulizaji. Kwa kujikita zaidi kitaaluma na kitakwimu sahihi. Hususan kwenye hafla za uzinduzi.

Ambapo majibu yao ya kitaaluma yangeongeza chachu ya watu kuitamani zaidi filamu ili wajionee uzuri wa Tanzania.

Tofauti na kilichofanyika kwa kwenda kumpambanisha Rais wetu,ambaye kitaaluma sio fani yake.

Hapo tayari umemchezesha Bahati Nasibu rais na watanzania bila kujua wala kupenda.

Hapo ni wazi kwamba waandaaji wameutumia muda wa Rais kwa manufaa yao zaidi.

Boston ndio mji ambao ni kitovu cha utalii na taasisi za utalii na wadau wake nchini Marekani.hasa kuhusu utalii wa nje ya Marekani kama Afrika na kwingineko.
Kuliko New York au Los Angeles

Hivyo ingekuwa vema uzinduzi ule ukafanywa katika mji huo,kuliko kwenye jiji la New York ambalo halina sifa ya utalii zaidi ya kujaa watoto wa mjini.

Kwa nini hata hawakupata wazo la kuingia mkataba na mmojawapo wa wasanii maarufu nchini Marekani,ili waweze kurekodi pamoja na Rais wetu ili kuiongezea chachu na umaarufu kimataifa?

Rais Samia ni Maarufu Tanzania ndiyo.
Lakini hajawa maarufu kimataifa kwa kiwango cha kuwashawishi watu kumiminika kuinunua filamu yake kwa sasa.
Kama waandaaji na wapiga debe mnavyotaka kuiaminisha Dunia.

Will Smith ametengeneza filamu ndogo tu ya jinsi alivyotembelea Afrika na Tanzania ikiwemo na inaweza kuipiku kwa mbali sana hii ya kwetu.kulingana na jinsi inavyoshambuliwa huko Marekani kwa mauzo.

Tujaribu kidogo kumuangalia Kagame wa Rwanda jinsi anavyoitangaza nchi yake bila kuingiza sura yake hata kidogo na Rwanda inapaa kimataifa.

Madhara ya kumtumia Rais moja kwa moja,
Na kuihusisha serikali yake kwenye masuala ya matangazo hasa haya ya kitalii. Ni kwamba soko lake pia litategemea rekodi yake pamoja na serikali yake kiutawala.
Wazungu huwa wanapiga chini kila kitu pindi mhusika anapokumbwa na kashfa yoyote ile.

Nimalizie kwa kuitaka serikali isikie maombi ya watanzania kutaka watuweke wazi kuhusu gharama na umiliki wa filamu ya Tanzania Royal Tour.

Nimemaliza kuutumia uhuru wangu kikatiba.
Acha maneno tulia tuone matokeo kwanza
 
Wazo lilikuwa zuri, lakini mleta wazo katuzidi ujanja.

Unapotengeneza filamu ambayo ni andishi la kitaaluma na kibiashara,tulipaswa kutanguliza taaluma zaidi kuliko siasa.

Mwanasiasa anaweza kukumbwa na kashfa au dosari za kiuongozi na kupelekea kupoteza soko kusudiwa baada ya kususiwa kote ilikotangawzwa na kuvuma. Huo ndio utamaduni wa wazungu.

Tulipaswa pia kuzilenga taasisi kubwa zilizobobea katika taaluma hiyo Duniani kama vile National Geographic au Animal Planet ambazo tayari zinajiendesha kupitia Vituo vyao binafsi vya kurushia Documentary zao Dunia nzima. Na zinaangaliwa na mamilioni ya watu Duniani kila siku.

Huyu Peter Greenbag hana Impact kubwa Duniani kama ambavyo ametuingiza mkenge kumdhania. Unaweza kutafakari hilo kwa kujiuliza aina ya watu ambao wamehudhuria uzinduzi wake huko Marekani.

Pia jiulizeni kwamba,inakuwaje utengeneze filamu ya kukutangangaza kibiashara,halafu unaiingiza Sokoni Amazon kuiuza.

Badala ya wewe Mtangazaji wa biashara yako ndio uwalipe wao ili wakutangaze.eti wewe ndio unaliuza tangazo lako kwa wateja.

Lengo likiwa kujulikana zaidi na hivyo kuvutia wateja kuja kuyaona yale uliyoyatangaza kupitia filamu yako.

Unapoanza kwa kuiuza bila kujua kama ita hit kwenye mauzo au la! Hii inaleta maswali mengi kuliko majibu.

Pia ingekuwa vema Rais angeambatana na wataalamu wa fani ya utalii pamoja na wabobezi wa African Wildlife Management.
Ambao tungewaona bega kwa bega na Rais wetu,wakimsaidia kujibu maswali na kukidhi kiu ya waulizaji. Kwa kujikita zaidi kitaaluma na kitakwimu sahihi. Hususan kwenye hafla za uzinduzi.

Ambapo majibu yao ya kitaaluma yangeongeza chachu ya watu kuitamani zaidi filamu ili wajionee uzuri wa Tanzania.

Tofauti na kilichofanyika kwa kwenda kumpambanisha Rais wetu,ambaye kitaaluma sio fani yake.

Hapo tayari umemchezesha Bahati Nasibu rais na watanzania bila kujua wala kupenda.

Hapo ni wazi kwamba waandaaji wameutumia muda wa Rais kwa manufaa yao zaidi.

Boston ndio mji ambao ni kitovu cha utalii na taasisi za utalii na wadau wake nchini Marekani.hasa kuhusu utalii wa nje ya Marekani kama Afrika na kwingineko.
Kuliko New York au Los Angeles

Hivyo ingekuwa vema uzinduzi ule ukafanywa katika mji huo,kuliko kwenye jiji la New York ambalo halina sifa ya utalii zaidi ya kujaa watoto wa mjini.

Kwa nini hata hawakupata wazo la kuingia mkataba na mmojawapo wa wasanii maarufu nchini Marekani,ili waweze kurekodi pamoja na Rais wetu ili kuiongezea chachu na umaarufu kimataifa?

Rais Samia ni Maarufu Tanzania ndiyo.
Lakini hajawa maarufu kimataifa kwa kiwango cha kuwashawishi watu kumiminika kuinunua filamu yake kwa sasa.
Kama waandaaji na wapiga debe mnavyotaka kuiaminisha Dunia.

Will Smith ametengeneza filamu ndogo tu ya jinsi alivyotembelea Afrika na Tanzania ikiwemo na inaweza kuipiku kwa mbali sana hii ya kwetu.kulingana na jinsi inavyoshambuliwa huko Marekani kwa mauzo.

Tujaribu kidogo kumuangalia Kagame wa Rwanda jinsi anavyoitangaza nchi yake bila kuingiza sura yake hata kidogo na Rwanda inapaa kimataifa.

Madhara ya kumtumia Rais moja kwa moja,
Na kuihusisha serikali yake kwenye masuala ya matangazo hasa haya ya kitalii. Ni kwamba soko lake pia litategemea rekodi yake pamoja na serikali yake kiutawala.
Wazungu huwa wanapiga chini kila kitu pindi mhusika anapokumbwa na kashfa yoyote ile.

Nimalizie kwa kuitaka serikali isikie maombi ya watanzania kutaka watuweke wazi kuhusu gharama na umiliki wa filamu ya Tanzania Royal Tour.

Nimemaliza kuutumia uhuru wangu kikatiba.
Very good analysis.
 
Huyo muongozaji ni mshidi wa tuzo za filamu,siyo mtu mdogo kwenye tasnia,huwezi rusha filamu BBC,CNN,Fox news...
Ni kweli mhusika anajulikana kwenye ulingo wa filamu, lakini tujiulize lengo kuu la filamu ni nini? Lengo halikuwakutengeneza pesa kupitia hiyo filamu, bali kutangaza biashara ya utalii Tanzania. Itakuwa ajabu tangazo la biashara kulipiwa kuliona. Naunga mkono kama hii ingewahusiaha National Geographic ingepata coverage kubwa, sasa hivi itaoozea Amazon. Juu ya yote filamu iliyotengenezwa na pesa ya mlipa kodi inatumika kumtajrisha SSH, Greenberg, na Amazon.
 
Wazo lilikuwa zuri, lakini mleta wazo katuzidi ujanja.

Unapotengeneza filamu ambayo ni andishi la kitaaluma na kibiashara,tulipaswa kutanguliza taaluma zaidi kuliko siasa.

Mwanasiasa anaweza kukumbwa na kashfa au dosari za kiuongozi na kupelekea kupoteza soko kusudiwa baada ya kususiwa kote ilikotangawzwa na kuvuma. Huo ndio utamaduni wa wazungu.

Tulipaswa pia kuzilenga taasisi kubwa zilizobobea katika taaluma hiyo Duniani kama vile National Geographic au Animal Planet ambazo tayari zinajiendesha kupitia Vituo vyao binafsi vya kurushia Documentary zao Dunia nzima. Na zinaangaliwa na mamilioni ya watu Duniani kila siku.

Huyu Peter Greenbag hana Impact kubwa Duniani kama ambavyo ametuingiza mkenge kumdhania. Unaweza kutafakari hilo kwa kujiuliza aina ya watu ambao wamehudhuria uzinduzi wake huko Marekani.

Pia jiulizeni kwamba,inakuwaje utengeneze filamu ya kukutangangaza kibiashara,halafu unaiingiza Sokoni Amazon kuiuza.

Badala ya wewe Mtangazaji wa biashara yako ndio uwalipe wao ili wakutangaze.eti wewe ndio unaliuza tangazo lako kwa wateja.

Lengo likiwa kujulikana zaidi na hivyo kuvutia wateja kuja kuyaona yale uliyoyatangaza kupitia filamu yako.

Unapoanza kwa kuiuza bila kujua kama ita hit kwenye mauzo au la! Hii inaleta maswali mengi kuliko majibu.

Pia ingekuwa vema Rais angeambatana na wataalamu wa fani ya utalii pamoja na wabobezi wa African Wildlife Management.
Ambao tungewaona bega kwa bega na Rais wetu,wakimsaidia kujibu maswali na kukidhi kiu ya waulizaji. Kwa kujikita zaidi kitaaluma na kitakwimu sahihi. Hususan kwenye hafla za uzinduzi.

Ambapo majibu yao ya kitaaluma yangeongeza chachu ya watu kuitamani zaidi filamu ili wajionee uzuri wa Tanzania.

Tofauti na kilichofanyika kwa kwenda kumpambanisha Rais wetu,ambaye kitaaluma sio fani yake.

Hapo tayari umemchezesha Bahati Nasibu rais na watanzania bila kujua wala kupenda.

Hapo ni wazi kwamba waandaaji wameutumia muda wa Rais kwa manufaa yao zaidi.

Boston ndio mji ambao ni kitovu cha utalii na taasisi za utalii na wadau wake nchini Marekani.hasa kuhusu utalii wa nje ya Marekani kama Afrika na kwingineko.
Kuliko New York au Los Angeles

Hivyo ingekuwa vema uzinduzi ule ukafanywa katika mji huo,kuliko kwenye jiji la New York ambalo halina sifa ya utalii zaidi ya kujaa watoto wa mjini.

Kwa nini hata hawakupata wazo la kuingia mkataba na mmojawapo wa wasanii maarufu nchini Marekani,ili waweze kurekodi pamoja na Rais wetu ili kuiongezea chachu na umaarufu kimataifa?

Rais Samia ni Maarufu Tanzania ndiyo.
Lakini hajawa maarufu kimataifa kwa kiwango cha kuwashawishi watu kumiminika kuinunua filamu yake kwa sasa.
Kama waandaaji na wapiga debe mnavyotaka kuiaminisha Dunia.

Will Smith ametengeneza filamu ndogo tu ya jinsi alivyotembelea Afrika na Tanzania ikiwemo na inaweza kuipiku kwa mbali sana hii ya kwetu.kulingana na jinsi inavyoshambuliwa huko Marekani kwa mauzo.

Tujaribu kidogo kumuangalia Kagame wa Rwanda jinsi anavyoitangaza nchi yake bila kuingiza sura yake hata kidogo na Rwanda inapaa kimataifa.

Madhara ya kumtumia Rais moja kwa moja,
Na kuihusisha serikali yake kwenye masuala ya matangazo hasa haya ya kitalii. Ni kwamba soko lake pia litategemea rekodi yake pamoja na serikali yake kiutawala.
Wazungu huwa wanapiga chini kila kitu pindi mhusika anapokumbwa na kashfa yoyote ile.

Nimalizie kwa kuitaka serikali isikie maombi ya watanzania kutaka watuweke wazi kuhusu gharama na umiliki wa filamu ya Tanzania Royal Tour.

Nimemaliza kuutumia uhuru wangu kikatiba.
Nadhani ungekuja na argument ya kuikataa The Royal Tour concept ingekua na maana zaidi kuliko kukataa ushiriki wa Mh. Rais. Soma kidogo kuhusu Royal Tour concept before ya kucriticise. Mhusika mkuu katika Royal Tour ni kiongozi wa nchi angalia hii Screenshot toka website yao


Screenshot_20220425-192049_Chrome.jpg

Tukiongelea kuhusu Rwanda wanavyojutangaza ile kutumia Arsenal na PSG ni different approach katika kujitangaza ila katika The Royal Tour Kagame alikua front kama ilivyo kwa Samia. Angalia hiyo link hapo chini

 
Siku ya uzinduzi filam ilipata more than 3m viewers world wide.
Tuache ramli tusubiri matokeo.
At least, Mama Samia kajaribu kufanya kitu.

Kwa taarifa yako tu Wazungu wengi walijua Mlima Kilimanjaro uko Kenya hapo nyuma, Walijua Tanzanite inatoka Kenya na India n.k
Sasa tusipoitangaza Nchi tutaendelea kupigwa.

Raisi kaanza kwa kadri aliweza. Badae wataboresha zaidi. Sio Jambo la kubeza hata kidogo. Labda una lako Jambo.
Sasa kama mleta mada ameweza kujua haya yote Raisi na taasisi zake wameshindwaje kujua?

Kusema at least Mama kajaribu haitoshi,Hili ni suala la kitaifa linapofanyika lifanyike kwa ukamilifu kwa sababu linabeba taifa na tuna taasisi nyingi ambazo zingeweza kufanya utafiti na kumshauri zaidi hata ya aliyosema mleta mada.

Nachokiona hapa ni watu wachache kujifanya wajuaji ndio maana kila mara nchi inapigwa na wajanja tu
 
Ni wa kawaida sana ukiangalia guests/clients wake wa the royal tour.

He also produces and hosts a television series called The Royal Tour which airs on PBS. The series features various heads of state giving Greenberg and viewers a personal tour of their country. It has featured a number of world leaders including New Zealand's Helen Clark, Israel's Benjamin Netanyahu, Abdullah II of Jordan, Peru's Alejandro Toledo, Mexico's Felipe Calderón, Rwanda's Paul Kagame, Poland's Mateusz Morawiecki and Tanzania's Samia Suluhu Hassan. Greenberg was previously the Travel Channel's chief correspondent.
Wavimba macho kujitia ujuaji hata kwenye fani wasio na utaalamu nayo.
Mleta mada aweke qualifications zake kwenye film industry. Na madai mengi kuhusu wakuu wa Nchi kama ndio kwanza imefanyika Tanzania.
 
Sasa kama mleta mada ameweza kujua haya yote Raisi na taasisi zake wameshindwaje kujua?

Kusema at least Mama kajaribu haitoshi,Hili ni suala la kitaifa linapofanyika lifanyike kwa ukamilifu kwa sababu linabeba taifa na tuna taasisi nyingi ambazo zingeweza kufanya utafiti na kumshauri zaidi hata ya aliyosema mleta mada.

Nachokiona hapa ni watu wachache kujifanya wajuaji ndio maana kila mara nchi inapigwa na wajanja tu
Si umeona tayari Rostam Aziz ameibukia huko akisaini mikataba yake ya Dola milioni 500!
 
Wavimba macho kujitia ujuaji hata kwenye fani wasio na utaalamu nayo.
Mleta mada aweke qualifications zake kwenye film industry. Na madai mengi kuhusu wakuu wa Nchi kama ndio kwanza imefanyika Tanzania.
Je filamu hii imelenga wakuu wa nchi au wananchi wa kawaida wa nchi zao?

Je hao wakuu wa nchi huwa wanao mvuto wowote kwenye ushawishi wa masoko ya kibiashara Duniani?

Je hao wakuu wa nchi huwa wanapita bila kupingwa baada ya kurekodi filamu na Peter Greenbag?

Ebu niambie kwenye uzinduzi huo ni watu maarufu wangapi uliowaona wakijumuika na Greenbag kuja kuizindua hiyo filamu?

Halafu njoo ujibu na maswali mengine ya Gharama zake na umiliki pamoja na utitiri wa msafara na gharama za kukaa huko.
Huku mitaani watu wakipambana na mifumko ya bei.

Maswali niliyoyauliza hayahitaji taaluma maana ni ya kawaida kabisa.
 
Inahusika vipi na Royal Tour.Royal Tour ndio mada inayojadiliwa.
Tunaongelea ukubwa wa msafara wa uzinduzi na kilichoko nyuma ya pazia pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom