JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Kwanza naomba nitoe declaration. Mimi ni mtanzania haswa ninaependa kuona maendeleo ya hii nchi.
Nirudi kwenye mada, hii royal tour ni deal sana hasa kwa namna inavyotarajiwa na watanzania wengi.
Sote tunaamini Tanzania itafunguka na tutapata pesa kwa ajili ya mradi.
Lakini pia Mimi niliamini kwamba kama huu uzinduzi ungefanyikia bongo na ikawa live kwenda kwao; nazani watu wangeelewa zaidi ni nchi gani hasa inazinduliwa kuliko kufanyika US.
Lakini si haba; wakimaliza huko waje na huku Tanzania, ili iwe live kutokea hapa kwenda huko.
Nasema hivyo kwa sababu; Siku zote wakenya wamekuwa wakitumia mlima Kilimanjaro kama mlima wao kwa sababu wanautangaza sana hasa wakiwa kwenye ndege zao na hiyo huwafanya watalii kuelewa mlima huo uko Kenya. Je hatuoni kwamba watu wengi watajua hiyo movie ni ya US.?
Vita vya Kiuchumi:
Miaka mingi tumekuwa wahanga kwenye utalii hasa kupitia jilani zetu.
Naomba niamini kwamba hata sasa bado wanatuandamana, lakini pia hawataifurahia hii Royal tour. Hivyo watakuja na mbinu mbalimbali kutudhoofisha.
Moja ya mbinu ndogo sana nii hii ya Binti wa Ki Nigeria, ametutikisa.
Pili hii hii ya game ya Simba na Orlando. Kocha katuchafua kwamba hatuna hospitality nzuri.
Tatu ni hili la Ngorongoro Crater. Tunaonekana kuwanyanyasa wanadamu, huku tunaenda kuwatangaza kama semehemu ya utalii. Hili nano linatubagaza.
Wale majilani zetu ni wa kuwaweka mguu sawa mapema saana ili wasiharibu. Lakini pia tujiandae kufanya vetting Kali sana ya wageni wanao ingia nchini. Kwa Sasa nchi imekuwa free sana lakini tunavyoanza kuwa serious na utalii kiasi hiki basi tujiandae kimiundombinu.
Mwisho, ni wapinzani wa mama ki siasa. Sijui ni kwa Nini Mama mwenyewe ameamua acheze hii movie wakati yeye ndio mtu wa mwisho kwenye mamuzi ya hii nchi.
Ikitokea shida kwenye hii movie nani ataaangushiwa hili zigo? .
Mfano. Ikifika hadi mwaka kesho mwezi kama huu watalii wakawa hoi hawajaja. Nani wa kulaumiwa? . Mama atajiteteaje?. Wapinzani wake wa kisiasa watamuacha wasimchafue? Hawatafanya kampeni ya kumuharibia hii movie.
Je, utulivu wa nchi utakuwa wapi? .
Mungu ibariki Tanzania!
NB: Nitakuwa Live kufuatiliwa uzinduzi hapo saa nane na nusu usiku wa Leo.
Karibuni nyote.
Nirudi kwenye mada, hii royal tour ni deal sana hasa kwa namna inavyotarajiwa na watanzania wengi.
Sote tunaamini Tanzania itafunguka na tutapata pesa kwa ajili ya mradi.
Lakini pia Mimi niliamini kwamba kama huu uzinduzi ungefanyikia bongo na ikawa live kwenda kwao; nazani watu wangeelewa zaidi ni nchi gani hasa inazinduliwa kuliko kufanyika US.
Lakini si haba; wakimaliza huko waje na huku Tanzania, ili iwe live kutokea hapa kwenda huko.
Nasema hivyo kwa sababu; Siku zote wakenya wamekuwa wakitumia mlima Kilimanjaro kama mlima wao kwa sababu wanautangaza sana hasa wakiwa kwenye ndege zao na hiyo huwafanya watalii kuelewa mlima huo uko Kenya. Je hatuoni kwamba watu wengi watajua hiyo movie ni ya US.?
Vita vya Kiuchumi:
Miaka mingi tumekuwa wahanga kwenye utalii hasa kupitia jilani zetu.
Naomba niamini kwamba hata sasa bado wanatuandamana, lakini pia hawataifurahia hii Royal tour. Hivyo watakuja na mbinu mbalimbali kutudhoofisha.
Moja ya mbinu ndogo sana nii hii ya Binti wa Ki Nigeria, ametutikisa.
Pili hii hii ya game ya Simba na Orlando. Kocha katuchafua kwamba hatuna hospitality nzuri.
Tatu ni hili la Ngorongoro Crater. Tunaonekana kuwanyanyasa wanadamu, huku tunaenda kuwatangaza kama semehemu ya utalii. Hili nano linatubagaza.
Wale majilani zetu ni wa kuwaweka mguu sawa mapema saana ili wasiharibu. Lakini pia tujiandae kufanya vetting Kali sana ya wageni wanao ingia nchini. Kwa Sasa nchi imekuwa free sana lakini tunavyoanza kuwa serious na utalii kiasi hiki basi tujiandae kimiundombinu.
Mwisho, ni wapinzani wa mama ki siasa. Sijui ni kwa Nini Mama mwenyewe ameamua acheze hii movie wakati yeye ndio mtu wa mwisho kwenye mamuzi ya hii nchi.
Ikitokea shida kwenye hii movie nani ataaangushiwa hili zigo? .
Mfano. Ikifika hadi mwaka kesho mwezi kama huu watalii wakawa hoi hawajaja. Nani wa kulaumiwa? . Mama atajiteteaje?. Wapinzani wake wa kisiasa watamuacha wasimchafue? Hawatafanya kampeni ya kumuharibia hii movie.
Je, utulivu wa nchi utakuwa wapi? .
Mungu ibariki Tanzania!
NB: Nitakuwa Live kufuatiliwa uzinduzi hapo saa nane na nusu usiku wa Leo.
Karibuni nyote.