Kuna siku alisema ati kuna umuhimu wa kubadilisha katiba ili Magufuli awe Rais wa milele maana hajawahi kutokea binadamu mwenye akili duniani kama magufuli ndio maana hata maveberu wanatuonea wivuHivi wakulungwa huyu Roy Sarungi ninani hasa? Mbona anaongea utopolo Sana na anaonyesha u much know? Nakiri simfahamu Sana huyu jamaa ila nilimuona kwenye judgement za wasanii kwenye bongo star search na kina salama.
Sarungi kwa wajaluo ni kama Mollel kwa wamasai. Kila mtu analo.Hata mi namuona hivyo halafu je ni mtoto wa Prof Sarungi ? Na anaonekana anavuta bangi pia.
Hawezi kuwa ndugu na kile kichwa Maria Tsehai Sarungi! Huyo ni umbwa kama umbwa zingine tu!!Hata mi namuona hivyo halafu je ni mtoto wa Prof Sarungi ? Na anaonekana anavuta bangi pia.
Aisee msiingize bangi kwenye mambo ya kijinga.Hata mi namuona hivyo halafu je ni mtoto wa Prof Sarungi ? Na anaonekana anavuta bangi pia.
Vipi,kale kajamaa ulishakarudishia visenti vyake alivyokuwa anataka kuvi-inject kwenye ile bizz yako?Aisee msiingize bangi kwenye mambo ya kijinga.
Badala ya kumsifia mi naona Kama kamtukana RaisKuna siku alisema ati kuna umuhimu wa kubadilisha katiba ili Magufuli awe Rais wa milele maana hajawahi kutokea binadamu mwenye akili duniani kama magufuli ndio maana hata maveberu wanatuonea wivu
Wivu unakusumbuaHivi wakulungwa huyu Roy Sarungi ninani hasa? Mbona anaongea utopolo Sana na anaonyesha u much know?
Nakiri simfahamu Sana huyu jamaa ila nilimuona kwenye judgement za wasanii kwenye bongo star search na kina salama.
Kumbe mnatazamaga TBC! pamoja na kujibaraguza koteNdio nikweli kwenye litvccm
Yule bwana (Roy Sarungi) ni anajua mambo kweliHuyo jamaa nilijua ni swala la muda tu wanajamii wa jf watamletea uzi uwe chanya ama hasi, ha ha! Jamaa analala na kuamkia tbc na anaongea kwa kujimwambafy bila kusahau ibada na sifa zilizopitiliza kwa serikali ya mwenye awamu yake.
Mambo yamekua mengi boss, yani hapa sina hamu.Vipi,kale kajamaa ulishakarudishia visenti vyake alivyokuwa anataka kuvi-inject kwenye ile bizz yako?
Utakuwa wewe ndio roy Sarungi mwenyeweYule bwana (Roy Sarungi) ni anajua mambo kweli
Tatizo la member baadhi wa JF ni wivu, na chuki (ambazo origin yake ni mlengo wa kisiasa)
Na bahati nzuri jembe yule kutoka mkoa wa kanda maalumu (mkoa wa Mara) haogopi, yeye anatwanga tuu
Ukweli atausema, penye kupongeza atapongeza, haogopi na hajawahi ogopa
Huo ndio ukweli, mtu yule ni anajua mambo (iwe siasa, mambo ya kimataifa, iwe ni lugha ya Kingereza mnayo ihusudu hadi kuwananga viongozi wanaotumia lugha ya Kiswahili, iwe ni semi za watu mashuhuri na wasomi wa kale)Utakuwa
Utakuwa wewe ndio roy Sarungi mwenyewe