Rotary clubs

Rotary clubs

Ze observer

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
233
Reaction score
493
Hongereni kwa ku enjoy weekend, na kuweka mikakati mingine ya week inayofuata ikiwa tumebakiza miezi miwili na siku 11 tu kuanza mwaka 2019.


Nina omba mwenye uelewa juu ya rotary clubs zilizopo hapa tanzania au kokote duniani.
Zinajihusisha na nini hasa? Kwasababu ukishakutana na mtu wa rotary inakua ngumu kukueleza ni zinahusu nini, mbali na hapo watakwambia karibu kwenye meetings kila siku jumanne saa kumi na moja hadi kumi na mbili hotel fulani. Ni watu ambao wapo very systematic kwasababu you dont ask then cant say..

Naomba kama kuna mtu ana ufahamu wa hii club anisaidie, nimeisha alikwa karibu mikoa mitatu mpka sasa lakini sijafanikiwa kwenda kwasababu sijui ABCs zake.
 
Rotary club international, nimeiona tanga na wilaya ya mwanga wao siku zote ni watu wanaojipambanua katika kutoa misaada kama ukarabati wa shule, misaada kwa wahanga n.k but hawataki kusema wazi kwenye vikao vyao wanajadili nini
 
Rotary clubs ni kama NGO japo haziko registered kama NGO,, ila mara nyingi zinahusika katika kutoa misaada na mahitaji mbalimbali katika jamii zisizojiweza, pia hutoa elimu, hamasa na kudevelop leadership skills kwa wale members wake!

Mimi nilipokuwa chuoni nilipata bahati ya kujiunga baada ya kukutana na member mmoja aliyenishawishi kujiunga,,, level za huku chini nilipojiunga mimi haziitwi Rotary clubs bali ni Rotaract club na inakuwa sponsored na Rotary club ya eneo husika tulipokuwa!!

Tumeshiriki kwenye events mbalimbali za kijamii, kuna exposures ya kukutana na foreigners, kucreate network, kukutana na viongozi wa rotary clubs za nchi nyingine, pia viongozi wa Kiserikali nchini.

Na ndo ikawa mara ya kwanza kwangu mimi na other members kukanyaga Serena Hotel enzi hizo ikiitwa (Moven Pick hotel) na kupata dinner, pia kufika sehemu mbalimbali!

Hvyo ndugu usiache kujiunga kama umepata fursa hio,,, hakuna gharama!!
 
Rotary clubs ni kama NGO japo haziko registered kama NGO,, ila mara nyingi zinahusika katika kutoa misaada na mahitaji mbalimbali katika jamii zisizojiweza, pia hutoa elimu, hamasa na kudevelop leadership skills kwa wale members wake!

Mimi nilipokuwa chuoni nilipata bahati ya kujiunga baada ya kukutana na member mmoja aliyenishawishi kujiunga,,, level za huku chini nilipojiunga mimi haziitwi Rotary clubs bali ni Rotaract club na inakuwa sponsored na Rotary club ya eneo husika tulipokuwa!!

Tumeshiriki kwenye events mbalimbali za kijamii, kuna exposures ya kukutana na foreigners, kucreate network, kukutana na viongozi wa rotary clubs za nchi nyingine, pia viongozi wa Kiserikali nchini.

Na ndo ikawa mara ya kwanza kwangu mimi na other members kukanyaga Serena Hotel enzi hizo ikiitwa (Moven Pick hotel) na kupata dinner, pia kufika sehemu mbalimbali!

Hvyo ndugu usiache kujiunga kama umepata fursa hio,,, hakuna gharama!!

Great! Inaonekana ulikua member mzuri sana usiyefika Nyuma ya mda.
Kifupi wambie kuwa MOTTO wa Rotary/Rotaract ni "Service above self". Niliwahi kuwa Chartered president wa hii kitu somewhere somedays.
Try me.
 
Hivi hawa rotary club ni freemason? nilisoma kitabu cha Sr Ande Chande A knight in Africa, alisema ye ni member wa rotary club na freemason na mkapa pia. Ndiyo hao walijenga shule ya Shaaban Robert.

NB: mi siamini kama freemason ni kikundi chenye nia ovu.
 
Great! Inaonekana ulikua member mzuri sana usiyefika Nyuma ya mda.
Kifupi wambie kuwa MOTTO wa Rotary/Rotaract ni "Service above self". Niliwahi kuwa Chartered president wa hii kitu somewhere somedays.
Try me.
Unaweza fafanua zaidi?
 
Kuwa makini, ni vikundi vinavyojiweka kama vinasaidia jamii lakini vina agenda za siri za upande ule wa giza
 
Rotary clubs ni kama NGO japo haziko registered kama NGO,, ila mara nyingi zinahusika katika kutoa misaada na mahitaji mbalimbali katika jamii zisizojiweza, pia hutoa elimu, hamasa na kudevelop leadership skills kwa wale members wake!

Mimi nilipokuwa chuoni nilipata bahati ya kujiunga baada ya kukutana na member mmoja aliyenishawishi kujiunga,,, level za huku chini nilipojiunga mimi haziitwi Rotary clubs bali ni Rotaract club na inakuwa sponsored na Rotary club ya eneo husika tulipokuwa!!

Tumeshiriki kwenye events mbalimbali za kijamii, kuna exposures ya kukutana na foreigners, kucreate network, kukutana na viongozi wa rotary clubs za nchi nyingine, pia viongozi wa Kiserikali nchini.

Na ndo ikawa mara ya kwanza kwangu mimi na other members kukanyaga Serena Hotel enzi hizo ikiitwa (Moven Pick hotel) na kupata dinner, pia kufika sehemu mbalimbali!

Hvyo ndugu usiache kujiunga kama umepata fursa hio,,, hakuna gharama!!
Ukipata connection nichek na mm
 
Back
Top Bottom