🤣🤣🤣 nyie ndiyo mashabiki mnamdanganya huyo nikki mbishi na matokeo yake jamaa anajikuta anashindia karoti na chai ya rangi alafu anaishia kuwatukana wasanii wanaopata mafanikio.Hakuna kitu Kama hicho Nikki ni concious sana hajui kufumba fumba huyo jamaa
Uko sahihi kabisaRoma ni “Rapper”na Nikki ni “Emcee” hio ndio tofauti yao hao wawili!
Unampa credit kwa kipi?Hakuna Cha wivu hapo ukizungumzia wasanii wa hip-hop mpaka Sasa Nikki Nampa credit aisee
Kuwa Political Rapper ndio kunamfanya Roma asiwe Emcee?!Roma ni Political rapper ila Nikki anaimba kwenye roots za Hip Hop
Kama hajui kufumba fumba kwanini hakujibu diss track ya P Mawenge futi 6?!Hakuna kitu Kama hicho Nikki ni concious sana hajui kufumba fumba huyo jamaa
Kwan huoni anachokifanya niniUnampa credit kwa kipi?
Nenda kasikilize nyimbo inayoitwa kelele za mashabiki yanikk utagundua alichoimba p ni marudio dogo kaguswa line mbili tu kaja na nymbo nzimaKama hajui kufumba fumba kwanini hakujibu diss track ya P Mawenge futi 6?!
Conscious kweli,lakini kulalamika kama toto la jambo always!!!?nao undeziHakuna kitu Kama hicho Nikki ni concious sana hajui kufumba fumba huyo jamaa
Brother tunafahamu akina nani wanafanya hip-hop na wanaozurula kwenye hip-hop!!! Nik hamfikii p The mc au one the incredible, possibly hata young killer tu!;amezidi ulalamishi,apunguze ununda unamfanya anakuwa mshambaHakuna Cha wivu hapo ukizungumzia wasanii wa hip-hop mpaka Sasa Nikki Nampa credit aisee