ROSTAM VS NIKKI MBISHI " Beef iliyo subiriwa kwa hamu" je Nikki Mbishi atawaweza Rostam ?

Mimi sio shabiki sana wa muziki, ila naomba kufahamishwa Niki ndo nani?

Kama Niki ni msanii wa ulaya, Roma aache beef kubishana na wazungu huko ulaya watamfyatua nyonga.
 
Mambo haya mfano tuliaminishwa Zuchu Zenji anakubalika sana leo kashuka uwanjani na chopa mashabiki awamejitokeza wachache tofauti na tulicho aminishwa
 
Back
Top Bottom