Mimi sio shabiki sana wa muziki, ila naomba kufahamishwa Niki ndo nani?
Roma aache beef kubishana na wazungu huko ulaya watamfyatua nyonga.
ninyi ndo mnaomdanganya NikiKwa ufupi nikk ni lyrcal genius huwezi kumfananisha na roma ordinary storyteller
Hahahah unju mkali mzee ukweli lazima usemwe magenius wengi duniani hawakuwah kunufaishwa na uwezo wao nikk ni kama nikola tesla kwenye hiphopninyi ndo mnaomdanganya Niki
Brother hivi umezaliwa au umeshushwaKwa ufupi nikk ni lyrcal genius huwezi kumfananisha na roma ordinary storyteller
Kuujua ukali wa nikk ni lazima uwe mkali pia 😃Brother hivi umezaliwa au umeshushwa
Ukweli mchungu