ROSTAM vs. MENGI PART III

ROSTAM vs. MENGI PART III

Status
Not open for further replies.
Joined
Nov 11, 2008
Posts
782
Reaction score
43
Alafu hizi habari kama nimezichoka vile kila tukiamka HABARI NDIO HIYO......
Natamani topic ibadilike FISADI ROSTAM ajadiliwe kama alivyo na MZEE Mengi pia kama Mengi hii kuwapambanisha PAPA na NYANGUMI ni kama mnatuondolea ohondo vile alafu nasikia kama na nguvu za kupambana na mafisadi zinapunguzwa vile, alafu tena nahisi watu wengi mnatumiwa vile, alafu hata haipendezi vile, alafu alafu nahisi wapambe wa kambi mojawapo mtaniponda vile, alafu nahisi sitawajali mie.

WITH LIGHT TOUCH......
 
Last edited:
halafu nahisi kama wewe mwenyewe unaiendeleza! nahisi kama umeshatoa hukumu kwa Rostam, nahisi kama yuko segerea na fedha zetu amerudisha!

nahisi ndio wewe unasupport maujji ya wanaohisiwa wachawi shinyanga na kuchoma watu moto wanaohisiwa vibaka, nahisi utawala wa sheria kwako katika hili haufuati tena! ila kuna wakati nahisi huwa unapiga kelele pale serikali isipofuata utawala wa sheria!

Nahisi, nakuhisi kuwa unahisi Mengi msafi kwa sababu wewe unahisi kuwa yeye msafi! nahisi kuwa unahisi Rostam fisadi kwa sababu tunaohisi wenye ushahidi kama Mengi wanaficha nahisi ili asiende segerea ili tubaki tunahisi, na huku wote wengine tunaohisi nao mafisadi katika sekta mbali mbali wajifiche nyuma ya muhisiwa Rostam.

Nahisi ungehisi CCM wote waondoke madarakani ili hisia zetu zife maana na mimi nahisi kuwa CCM wote mafisadi wakiongozwa n muhisiwa namba moja JK.

Ungejua mafisadi halisi ni wale wanaotaka tuendelee kuhisi Rostam fisadi huku nao wakifanya ufisadi katika mwamvuli wa Rostam! nahisi na wewe ni mmoja wapo!
 
Abelene Paradox?? ama..

feel free to comment whatever you like, use any language, no Abilene issues here! I tried to use his language


Nahisi hawa jamaa imewachoma vile? alafu nahisi nilichokihisi kimetokea vile. alafu nahisi unanihisi mimi niko kwa RM kumbe sio, natamani nikueleweshe mpaka uhisi mimi ni neutral vile......

ANY WAY TAKE THE MESSAGE NEVER MIND imeletwa na usafiri gani, iwe mzigo umekuja kwa dala dala au Bajaj USIJALI muhimu ni kuwa umefika salama kwa mlengwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom