Hizi ni dalili za Fistula ya ubongo,Rostam ameanza lini Kumiliki channel 10?
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
Hayupo chanel ten. Meshack yupo chanel one.
Na Wewe Hiyo Channel One Yako Inapatikana Ktk Sayari Gani? Mliokuja Dar Leo Na Treni Ya Bara Mnajulikana Tu.
Mkuu hujui kuwa Tanzania kuna local TV Station inayoitwa "TV One"?? Hujui pia inaonekana hata kwa walio nje ya Dar na hivyo huhitaji kuwa "wakuja" kwa train ili kuiona Dar??
Iko kwenye ving'amuzi vya Startimes (sina uhakika kama ipo na kwenye ving'amuzi vingime)
Tv One Ndiyo Channel One? Acha UPOPOMA Na Siku Nyingine Usipende KUKURUPUKA Kwani NITAKUCHANA " Live ".
Tulishuhudia mnagawa pesa kuanzia ndani mpaka nje, misikitini mpaka makanisani, kwa maaskofu mpaka mashekh n.k. Huyu ni mfanyakazi na mtangazaji wa Channel 10 ambayo inamilikiwa na Rostam ambaye ni rafiki wa Lowassa, si mwingine, ni Meshack Nzowa.
Nampa sana pole kwa kuumwa Nzowa lakini nawakumbusha matajiri wake, mahodari wa kutoa, wamsaidie kiasi cha pesa kinachohitajika ili aweze kwenda kutibiwa nje ya nchi, msijifanye hamna pesa ama hamuelewi yaliyomkuta!
Msaidieni ama sivyo hii ni aibu kubwa kwenu nyie wawili, hauwezi ukampenda Mungu usiyemwona na aliye mbali na wewe halafu ukaacha kumsaidia mtu aliye karibu yako sana.
Rweye nadhani umekurupuka na kuandika ujinga.
1/Meshack Nzowa ni mmtangazaji wa TV1.
2/Rostam Aziz sio mmiliki wa channel ten.
*Tusidhihaki afya za watu, meshark Nzowa alipata ajali mbaya sana, kwa sasa anatafuta pesa ili apelekwe haraka India ili kuokoa maisha yake, mtu yoyote anaweza kumchangia. Ugonjwa wake usiwe ni sababu ya kuwadhihaki wengine.
Hayupo chanel ten. Meshack yupo chanel one.