FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,227
Bila kuwa mnafiki kamwe hauwezi kuwa mwanachama wa CCM,hivi kweli rostam anaweza kwenda igunga kupiga kampeni!!?Tusubiri
Mnafik ni wewe, RA anapendwa Igunga kuliko kiumbe yoyote. Kafanya makubwa huko kuliko mbunge yeyote wa Tanzania.