Rostam, Mkapa kuungana kampeni za CCM Igunga

Rostam, Mkapa kuungana kampeni za CCM Igunga

Mkapa kama amekubali kwenda kufanya kazi hiyo basi anakwenda kujivunjia Heshima kwa sababu atashushiwa Makombora tu,Heri alivyokaa Kimya!!<br />
<br />
He truly needs to think twice,tuna maeneo Lukuki ya kumbomoa!!
<br />
<br />
heshma ip alinayo.
 
Mkapa kama amekubali kwenda kufanya kazi hiyo basi anakwenda kujivunjia Heshima kwa sababu atashushiwa Makombora tu,Heri alivyokaa Kimya!!

He truly needs to think twice,tuna maeneo Lukuki ya kumbomoa!!

Atakapokanyaga Igunga wamuulize kuhusu kulipa ile hela iliyobaki kulipwa aliponunua mgodi wa kiwira yeye na mkewe
 
Mikataba mingi mibovu ya madini ilikuwa signed wakati wa Mkapa, na huyo Dr kafumu ni mtumishi kwenye hiyo Wizara ya Madini (kwa sasa ana cheo cha u-kamishna). Sasa Mkapa anaenda Igunda kwa maslahi ya ccm ya kutambikia mizimu yake ya madini?

Kila jambo lina wakati wake, ubabe wa Mkapa was then not now. Atashangaa watanzania watakavyombadilikia na mbaya zaidi watakuwa ni wana-ccm.
 
Wako wapi wale walikuwa wanamkumbuka Mkapa, huyo sasa kaibukia Igunga!
Mfuateni mkanywe nae Bia na Nyama choma
 
Hata kikwete akienda jimbo la chadema sisi chadema nataka kuwasiliana na MBOWE DK SLAA wamtume LEMA ANATOSHA WAO WAENDELE NA MAJUKUMU YA TAIFA LEMA awakimbize mbaka walie Nape akienda Igunga ndiyo hawapati hata kura moja yeye na Chiligati
 
hii ni aibu, kubwa sana kwa Mzee Ben kwenda kufungua kampeni Igunga, hivi amesahau wakati wa kumpitisha JK kugombea uraisi kilichomkuta????
ama kweli mzee wa watu anaenda kuambulia aibu ya kufa mtu....
 
Mkapa is going to dig a grave for himself, sidhani kama moto utakaowashwa na vijana pande zile atauweza, rather itamsababishia hypertension.
 
Nyani haoni kundule!! CCM haina tena mtu aliyemsafi. Kumpeleka mkapa igunga ni staili ya mbuni kuficha kichwa kichakani na kuacha sehem nyingine wazi huku akijifariji kuwa adui hawezi kumuona. Let us wait and see!
 
<br />
<br />
walimtuma Moshi mjini mwaka jana alichoambulia ni madiwani wanne kati ya 21. Kumbe Jk bado anatumiaga zile akili za mkopo. Kazi kweli

Ukweli ni kwamba lazima atumie akili la mkopo kwani kwa sasa CCM wana jihalalisha kwa serikali ya Mkapa kwa sababu ilifanya mambo mazuri na wameamua kuwa wazi kukubali kwamba hawajafanya lolote litakalotumika kama kichocheo cha kuwashawishi wana Igunga wawachague.
Hali inapofikia hapo hutakiwi uulize kwa nini kwani wanaume wanapogundua wanakwenda kuumbuka hujidai wako busy na kuwatumia wale wanaokubalika kama kipima upepo chao.
 
Nadhani atakuwa ni msaada mkubwa sana kwa CCM. Huyu mzee huwa haogopi mtu yeyote, nakumbuka alivyodiriki kuwaita Chadema KOKOTO pale Jangwani. Chadema walilalamika sana lakini jamaa hata hakuogopa.
Kumbe Kikwete anaigopa Chadema.
 
ponea yake asikae igunga akikubali kufanya kampeni mwanzo mwisho amekwisha,atajifedhehesha zaidi kachafuka mno huyo ''the dirty man''hana mvuto wowote hata hivyo ccm wafanyeje???wampeleke nani ambae ni msafi?nani atajibu kitendawili hiki ajitokeze?? msaada uliobaki ni kuiba kura tu.
 
Ngoma inogile Mzee Mkapa kuongoza kampeni za CCM.

Hii kauli mbiu ya Magamba ni mtaji wa anguko lao:HEBU TUANGALIE WAMETHUBUTU, WAMEWEZA NA WANAENDELEA KUFANYA NINI

A: TUMETHUBUTU:
1) Kufanya ufisadi wa kutosha na kupora rasilimali za wa TZ mf. wizi wa wanyama hai, rada, Richmond,
2) Kuwa na rais wa kwanza barani Africa mwana anga(astronony) ambaye kwa miaka 6 ya uongozi wake amefanikiwa kuelea angani kwa zaidi ya siku 300 kwa chombo aina ya GULF STREAM bila kuanguka
3) Kuiba dhahabu yote na kuipeleka nje na tunataka migodi yote ibaki mashimo kama pale Buhemba kwa Mh. Mkono
4) Kuwarudisha akina Jairo bila kujali makelele ya wabunge kule Dom kwani wao ni hamnazo
5) Kuwaamuru polisi kuzima maandamano na inapobidi kuua raia wanaoshiriki maandamano ya kuwafungua watanzania macho.
6) Kutojisumbua kuwa na long term plan za kuwa na umeme wa kutosha na badala yake tunasubiri bwawa la Mtera likauke then tuanze mgawo wa umeme.
7) KU-EPALIZE na kuwatoa mhanga akina Maranda peke yao
8) kufanya madudu mengi ambayo yanasubiri za mwizi arobaini ili zilipuliwe .

B: TUMEWEZA:
Kuwa hadaa waTZ na kwa ujinga wao wakaendelea kuamini kwamba bila CCM eti hii nchi haitatawalika
Tumeweza kufanya yoote yaliyotajwa hapo juu yaani:
1) Kufanya ufisadi wa kutosha na kupora rasilimali za wa TZ mf. wizi wa wanyama hai, rada, Richmond,
2) Kuwa na rais wa kwanza barani Africa mwana anga(astronony) ambaye kwa miaka 6 ya uongozi wake amefanikiwa kuelea angani kwa zaidi ya siku 300 kwa chombo aina ya GULF STREAM bila kuanguka
3) Kuiba dhahabu yote na kuipeleka nje na tunataka migodi yote ibaki mashimo kama pale Buhemba kwa Mh. Mkono
4) Kuwarudisha akina Jairo bila kujali makelele ya wabunge kule Dom kwani wao ni hamnazo
5) Kuwaamuru polisi kuzima maandamano na inapobidi kuua raia wanaoshiriki maandamano ya kuwafungua watanzania macho.
6) Kutojisumbua kuwa na long term plan za kuwa na umeme wa kutosha na badala yake tunasubiri bwawa la Mtera likauke then tuanze mgawo wa umeme.
7) KU-EPALIZE na kuwatoa mhanga akina Maranda peke yao
8) kufanya madudu mengi ambayo yanasubiri za mwizi arobaini ili zilipuliwe .

C: TUNASONGA MBELE:
1)Kuwaibia, na kuwanyong'onyesha na kuhakikisha waTZ ambao hawajaguswa na mkono wetu wafukarishwe kabisa ikiwa ni pamoja na kuwanyanganya ardhi yote nzuri ili tuwape wawekezaji

2) Kumalizia rasilimali zilizobaki ili zipatiwe wawekezaji na kwa sasa tunatafuta wawekezaji waki geni wenye uwezo wa kuwekeza ili tubinafsishe vitega uchumi vifuatavyo:

1. Mlima Kilimanjaro
2. Mbuga za Serengeti na Ngorongoro(hapa tayari tumeanza)
3. Kubuni na kuendesha shughuli za utalii maeneo ya magogoni likiwemo eneo la Mkulu
3. Maeneo yote ya wazi nchini
4. Kubinafsisha eneo lote la pwani ukanda wa bahari ya Hindi
5. N.k

Kwa hayo na mengine mengi ambayo Magamba wamewatenda wa TZ ndio maana CCM wanaomba kura za wananchi wa Igunga
 
vip nape atakuepo? aka mvua magamba!
Nape hawezi kwenda yeye na wenzake waliomtoa kafara RA na kuwaacha wengine wanatesa.
Ndio maana wameona mtu wa pekee ambae ni neutral kwa ishu ya Igunga ni Mzee Mkapa.
 
Huku ni kumdhalilisha Mzee huyu, inamaana hadhi yake imeshuka mpaka kufikia kufanana na Jimbo moja badala ya nchi? Jamani aheshimike huyo mzeee.
 
basi wamjumuishe na Mh. Yusuph Makamba
Huku ni kumdhalilisha Mzee huyu, inamaana hadhi yake imeshuka mpaka kufikia kufanana na Jimbo moja badala ya nchi? Jamani aheshimike huyo mzeee.
 
Aje tu huyu Mmeto toka Msumbiji, tuna hamu naye sana kwani yeye ndiye muasisi wa ufisadi hapa Tanzania kama JK alivyo muasisi wa udini na siasa za maji taka hapa nchini.Tutamkumbusha ya ANBEN, Kiwira na Fosnick, alivyoruhusu ukwapuaji wa fedha za EPA, alivyouza NBC naalivyoua viwanda vyetu kwa kuvigawa kwa wawekezaji feki kwa bei ya kutupa, ununuzi wa rada, ununuzi wa ndege ya rais,huyu mbona atakoma ubishi? NJOO MKAPA NJOO, UNA MENGI YA KUJIBU ULIJIFANYA KUKAA KIMYA SASA UMEINGIA KWENYE 18 YETU WAZAWA.
 
vip nape atakuepo? aka mvua magamba!

Nipe aka Nape alishaambiwa na hiyo mizee ya CCM kuwa asithubutu kukanyaga Igunga maana yeye ndo kasababisha RA kujivua gamba!
Lakini yote tisa kumi ni Mkapa kuingia kwenye kampeni hizi za Igunga. Kwa kweli inachekesha na inasikitisha!!
Na huu ni udhihirisho mwingine kuwa CCM SASA WAMEISHIWA NA WAMEKWISHA, ni dalili ya KIFO CHA CCM. Haina kada yeyote aliyemsafi. Ni afadhali wangempeleka hata MZEE RUKSA angeweza kuwasogeza kuambulia hata kura moja.

Hivi Mkapa tangu lini wamemsafisha??Mkapa tunajua ANANUKA RUSHWA,Mkapa ni gamba jingine ndani ya Chama Cha Magamba. Mkapa huyu huyu si ndiye ALIYEKUWA AKIFANYA BIASHARA IKULU pale magogoni. Mkapa si ndiye aliyejifanya ananunua MGODI WA KIWIRA kwa bilioni 70 halafu akaishia kulipa milioni 700 tu!Mkapa si ndiye aliyanzisha EPA,DEEP GREEN,MEREMETA,UNUNUZI WA RADA,NDEGE FAKE YA RAIS,UUZAJI WA NBC benki,nk.

Mkapa huyu huyu ukienda leo hii kule Bondeni kwa Mzee Madiba anamiliki BONGE LA JUMBA lenye thamani ya mabilioni ya TZS na haijulikani kama ALILINUNUA au ALIPEWA kama RUSHWA na wawekezaji uchwara wa Kisauz kwenye benki zetu za NBC na migodi yetu.

Mimi nasema Mkapa hafai kufanya kampeni Igunga,he is just another gamba. Shime wana Igunga tunaomba safari hii MUWAONYESHE CCM kuwa mmechoshwa na SIASA UCHWARA kama alivyowaambia Mbunge wenu mpendwa mliyemlilia na mkazimia wakti akiwaaga.

Chama Cha Magamba-CCM KWA HERI IGUNGA.
 
why, kikao kimefanyika ikulu, ambako tunafahamu kuwa ikulu si mali ya chama ni ya serikari, je ni fedha ipi imetumika kuendesha kikao, au serikari imeamua kukidhamini.
 
Back
Top Bottom