johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,108
Haya ya CCM kutumia $100 za EPA kwenye kampeni yamo kwenye Kitabu chake Hayati Benjamin Mkapa
Lakini kwa namna ya CCM unaweza kukuta hizo fedha hazikwenda kwenye kampeni ila waligawana Wahuni wachache tu
Sabato Njema!
Lakini kwa namna ya CCM unaweza kukuta hizo fedha hazikwenda kwenye kampeni ila waligawana Wahuni wachache tu
Sabato Njema!