Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Na mikopo yote ni mwaka 2000, siwezi shangaa kusikia hizo hela zilienda kwenye Uchaguzi, Wenzao EPA, Wao CIS.Wadaiwa wote hao ni wanachama wa ccm na wengi wao ni viongozi wa serikali ya ccm.
Ama kweli rushwa na ufisadi ni sera ya kudumu ya ccm.
Ole wao mafisadi mwaka huu mtakiona cha moto, ngoja Dr. Slaa aingie ikulu, mtajuuuuta kumfahamu.