SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Tunajua na tunaamini kwa sasa upo karibu sana na mkuu wa nchi. Tafadhali tumia ushawishi wako kumshauri mambo mbalimbali ya uchumi.
Mkuu wa nchi inaonekana hajui chochote kuhusu mambo ya uchumi. Hebu angalia ukuaji wa deni la taifa na hali ya biashara nchini kuanzia 2015-2020.
Rostam tunajua una makandokando mengi sana huko nyuma ila kwa sasa tuweke yote pembeni tuijenge nchi.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Mkuu wa nchi inaonekana hajui chochote kuhusu mambo ya uchumi. Hebu angalia ukuaji wa deni la taifa na hali ya biashara nchini kuanzia 2015-2020.
Rostam tunajua una makandokando mengi sana huko nyuma ila kwa sasa tuweke yote pembeni tuijenge nchi.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app