Sawa kabisa Jasusi, absolutely right, kichwa cha habari ni swali, lakini ndani aya ya kwanza mwandishi ametoa assertion kwamba huenda Rostam akavuliwa uraia halafu, badala ya kuonyesha kuna nini kimetokea, unakuta mwandishi huyo huyo anasema hii status quo hii haiwezi kumfanya kitu Rostam.
Sasa, which is which, Jasusi hebu nisaidie, maana mimi ni "mkaanga sumu." Wewe you are as fair-minded as they come, we nambie, Mwanakijiji ana speculate kwamba Rostam may be in trouble au anasema Serikali haiwezi kumgusa Rostam? Kipi ni kipi?
Halafu unapotoa nukuu mia nne za sources bila kutaja hata mmoja, mi msomaji nitajueje hujatunga? Kwa nini nikuamini wewe? Wafuasi wako watakuamini, ndio, lakini kama unataka ku convince wengi zaidi ili twende tukapige kura kuondoa status quo basi jaribu ku reach beyond the kwaya, wana kwaya wameshakubali somo, katoe injili Jangwani ku convert wengine upanue zizi la kondoo wa bwana. Au basi angalau hao wafuasi wako waambie ukweli. Ukweli wenyewe tabu. Rostam yuko matatani, nani kamtia matatani, Mtikila? Kesha lipa deni?