Halisi,
I beg to differ just for the sake!
1. Siogopi
2. Siwezi kushabikia 'UASI' sehemu yeyote 'NYETI'
3. Nitaendele Kushabikia huu 'UKOMBOZI' ;hapa tupo pamoja.
Nafikiri tutakubaliana kuwa MMKJJ huwa haji hapa kimbelembele, huwa akipiga mbiu kuna jambo, RA keshapigiwa ramli za aina zote humu JF na hapa nyumbani lakini wapi...kila kitu sasa "Wakombozi" tunadai tunajua, sembuse uraia wake?
Nimeuliza maswali kadha hapo juu(refer to previous post) Where is our Investigative Journalism? Zitabakia kuwa Tetesi tu? Kuvuliwa Uraia kwa sababu gani kuu, sio Raia? Ni Fisadi? Mwirani? Hivi kuna Mtanzania Mtanzania?
Hivi EL anajulikana kama fisadi sio? Atanyanganywa Umasai? Manake kawaaibisha wa Morani wenzake, Wamasai, Watanzania na ndi sisi Watanzania tuanolia tunafisadiwa.AU?
Kwanini Tunamtafutia RA njia rahisi ya kuondoka? ....Haya basi sio Raia wa Tanzania aondoke mara moja...halafu vita vya ufisadi ndio basi?
Ahsante
kumbukeni kuwa hata Mh. Mwakyembe mbunge wa kyela wakati akijibu tuhuma alizotungiwa na kina rostam, alisema kuna watu wana uraia wa nchi mbili, akiwa anamlenga rostam, msomin kama mwakyembe hawezi kuropoka hivi hivi
Nawewe jaribu kuwa mwelewa! Huwezi kulinganisha uraia wa EL na rostam, nadhani hujafikiria kidogo. Huyu rostam ana uraia wa nchi mbili kitu ambacho ni kosa kisheria. Sasa kwa sababu na yeye na fisadi na anaonekana kutudharau basi tutumie njia ya uraia kumfukuza nchini. EL tutamshughulikia taratibu kwa sababu ni morani wa hapa hapa.
kuna copy and paste journalism tu...Wana Jamii,
Hivi hakuna Investigative Journalism hapa kwetu? Nyaraka hizi za uthibitisho wake kweli haupatikani? Mbona mie wananijua? Mambo ya ndani(uhamiaji)
Dawa ya mwizi ni mwivi..Nyaraka zinazonuka ufisadi zinakuja hapa, hata harufu haijaisha zinatua kabla hata kinyesi hakijakauka hapa...Kulikoni?
Kulikoni za Idara ya Uhamiaji? (Msije kuniambia ule moto uliowaka wakati ule hapa uliondoa nyaraka hizo aidha kwa maji ya zimamoto au moto wenyewe!) Yale yale, twin towers.
Nilifikiri ka nzi kana uwezo wa kupenya penya, ama uhamiaji hakunuki?
Wamemshinda huyu Jeetu watamweza huyo RA?
Tutashuhudia...ka nzi kapewe vinyesi vya ufisadi uhamiaji(hakuna vyandarua pale)kama ushahidi unatakikana, tetesi mpaka lini?
Nitathubutu kumuuliza mkuu wa kaya mwenyewe, ikibidi(wewe unamjua Rosatm, alisoma wapi-ni rafiki yako, ulimpa uraia? Unaweza kumfungulia kabrasha ya uchunguzi yakinifu?
Jioni njema
No one Care Kwasababu watoto wao wanakula na kulala pazuri, No one care because they sure we cant touch them, No one care because they think of short term impact of their political career , No one care because mioyo yao inawasuta kwa pesa walizoshirikiana kuiba na RA, No one Care because they are shareholders in most of RA companies, No one care. But there is blood of Inocent which care and that are Tanzanian wanaokufa kwa magonjwa mbalimbali kwa kukosa matibabu kutokana na ukosefu wa vifaa vya kisasa vya afya, Damu ya kina mama wanaokufa kwa kukosekana kwa huduma za afya wakati wa kujifungua, Watu Hizi damu hazitaondoka bure, Katika kila damu inayomwagika, Itakaa Juu yao. The end is coming now...
kuna copy and paste journalism tu...
......
Mwajemi huyu jina lake halisi alilopewa pamoja utambulisho wake alipozaliwa kule kwao Iran ni SAKARIR mwana wa AZIZ. Sakarir alipokuja Tanzania kuipora Nchi ya 'mataahira' kama anavyopenda kutudharau yeye mara nyingi, alijipa jina la 'Rostam'. Wazazi wa Sakarir hawajawahi kuishi hapa, wapo kwao Iran, wakiwa na biashara kubwa ya nyama na kufuga ng?ombe. Sakarir alipozaliwa alipata elimu yake ya msingi kwao Iran, na baadaye akapata elimu ya juu Uingereza ambako pia anao ndugu.
Nilipoanza kuzungumzia uraia wa 'Rostam' Aziz alibabaisha kuwa alizaliwa Ndala Mission, lakini ni mwongo, ingawa alisahau kwamba Premji wa Kigoma alizaliwa hapa lakini hakuwa raia kwa sababu wazazi wake hawakuwa wameukana uraia wa kwao, wala yeye Premji hakuwa ameomba uraia kwa mujibu wa Sheria, hata kama aliweza kujipatia Passport ya nchi hii kwa njia za ufisadi kama alivyofanya yeye. 'Rostam' amepata kudanganya kwamba alisoma shule ya msingi Mwisi, alipoona atagundulika upesi akasema alisoma Mwamala, Nzega, lakini siyo kweli.
Hili lililomkuta Mtikila hayupo pekeyake, wapo wengi mno, Mtikila kaamua kukaa kimya lakini kuna wengine (Manyerere Jacton) wapo majukwaani kabisa kumtetea huyo jamaa kwa sababu wameshakula cha watu
OBSESSION inatisha sana
Kama ni kweli na aliweza kupitishwa kuwa Mbuge bila umakini wowote, I wonder kama Nchi hii ina viongozi makini.
Na zaidi bado najiuliza Watanzania tunayo matatizo gani hasa mpaka tunashindwa kutyatambua haya kwa nguvu zetu zote?
Toleo la 40 hilo hapo.wakuu wa kaya nawezaje kupata nakala ya cheche no 40. nimejaribu kuitafuta bila mafanikio. niwezesheni wazee.
asante mwanakijiji kwa jitihada zako. we really need changes,
Kama ni kweli na aliweza kupitishwa kuwa Mbuge bila umakini wowote, I wonder kama Nchi hii ina viongozi makini