Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,875
Mbunge wa igunga mh r.a ameibiwa ofisin kwake na watu wasiojulikana
wenye kujua walichofanya pikipiki 50 na basikeli 50 na fulana na kalenda
zilizokuwa na picha ya shwahiba wake hussein bashe...bashe ni mjumbe wa uvccm
r.a alipoulizw simu ilikaa kimya bila kupokelewa kabla ya kukatwa
bashe alipopigiwa aliomba naomba nikueleze wameiba kidogo na mh ameomba usiandke chchte tafadhali.......ni kweli zilikuwa wepo 25 pkipki na 25 bkl za igunga na nzega ambako naenda kugombea ila nasubiri cham waturuhusu tujitangaze
kazi kweli kweli sellelliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii upo???
wenye kujua walichofanya pikipiki 50 na basikeli 50 na fulana na kalenda
zilizokuwa na picha ya shwahiba wake hussein bashe...bashe ni mjumbe wa uvccm
r.a alipoulizw simu ilikaa kimya bila kupokelewa kabla ya kukatwa
bashe alipopigiwa aliomba naomba nikueleze wameiba kidogo na mh ameomba usiandke chchte tafadhali.......ni kweli zilikuwa wepo 25 pkipki na 25 bkl za igunga na nzega ambako naenda kugombea ila nasubiri cham waturuhusu tujitangaze
kazi kweli kweli sellelliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii upo???