Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 480
Itashangaza sana Kama katibu Mwenezi wa CCM atajitapa kwamba hayo ni mafanikio.........Sidhani kama atakuwa desparate kiasi hicho katika kurejesha imani ya wananchi kwa chama chake,Naamini hatafanya hivyo badala yake nadhani atanadi busara ya kuchukua hatua zaidi na kuishinikiza serikali ya chama chake kumburuza mahakamani na au kutaifisha mali zake kutokana na ushahidi waliokuwa nao na kumtaka kuachia nyadhifa
tutakuangalia maana hatutaki kupata wabunge vihiyo kama Shibuda...lolNilisema,kama MP akidanchi au anyhow chance ikitokea natangaza nia,...
Nitagombea Igunga kupitia chadema,
HAKIKA TIME WILL TELL !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
WHAT GOES AROUND COMES AROUND,
Hofu yangu ni matusi aliyoyatoa kwenye hotuba yake ya kuachia ngazi,moto ndio kauwasha,amesema anaachana na SIASA UCHWALA anakwenda kwenye BIASHARA zake waliko washirika wake wa KIBIASHARA.
Mama yangu eeeeeeeeeeeeh!!!!!!!, nimeona kashika mtungi wa gesi na kopo la petrol halafu,aliosema anawaachia siasa UCHWALA wameshika Kiberiti cha GESI na walivyo na USONGO wa KUAMBIWA wanaendesha SISA UCHWALA WANATAKA KUMTHIBITISHIA KUWA AZIKUWA SI-A-SA UCHWALA BALI SIASA ZA UJENZI WA TAIFA KWA MISINGI YA HAKI.
WATAMFILISI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.NI HAFADHALI ASINGEWATUKANA IKAWA AJALI YA KISIASA,KAWASHIWA MOTO WATAMKOKEA KUNI AOTE,NA KUMBE NI MASAI KAINGIA DISCO.
HIZO ANAZOZIITA BIASHARA WALIMPATIA HAO HAO ALIOWAITA WANAENDESHA SIASA UCHWALA.JAMANI SIKIO LA KUFA ALISIKII DAWA.AMELIKOLOGA!!!!!!!!!!!!!
Mkuu Who is Down...???one down, two to go!
Wa kupima wewe, si mzima!Mlisema hayawi sasa yamekuwa, haya wapiga vinanda wa CDM, semeni jingine. CCM oyee.
unachoche vurugu kubwa kama ya RwandaNatamani JF MOD na akina Invisible waifanyie marekebisho JF! Itoweke hewani hadi kesho jioni
There are currently 1982 users browsing this thread. (345 members and 1637 guests)
s.ivuga next mbunge wa igunga.
Nipe kura yako
mimi bungeni ngumi mkononi lazima mtu atolewe jino au aoteshwe nundu.[/QUOTE
hesabu kura yangu, naomba umtoe manundu Sitta jana nimemmaind