Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,605
- 220,425
Hizi hela za CCM mbona zinaliwa kijinga sana namna hii, Tangu lini Katibu wa Wazee wa CCM akazurula Nchi nzima kwa mikutano ya hadhara?
Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?
Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.
Halafu ni nani ambaye anaweza kushawishika na porojo za Hapi anayetuhumiwa kuwatukana Wazee wa Chama chake hadi akavuliwa Ukuu wa Mkoa?
Ni kweli kwamba Watanzania ni Mabwege lakini si mabwege sana kiasi hicho.