Kifaru Kajeruhi
Member
- Aug 19, 2009
- 28
- 0
Hivi kuna haja ya kuendelea kumjadili huyu...........status yake wote tunaifahamu.............hashikiki kwa sasa....kumtoa huyu si rahisi lakini siku zake zinahesabika.......miaka mitano ijayo ikiisha chochote kinaweza kutokea huyu RA mwisho wake naona utakuwa mbaya sana kwa jinsi anavyoichezea nchi hii.