Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Sofia simba anatakiwa afanyiwe psychotherapy.
Sidhani kama Sophia Simba anahitaji Psychotherapy, huyo ndivyo alivyo.
Anayehitaji zaidi Psychotherapy ni yule aliyemweka kwenye hiyo nafasi huku akijua huyo ni mama wa kitchen party. Kama mtu kushindwa kufanya usahili mbele ya wabunge wenzako, what else can you do than kasukulling?