Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Usijali Laaziz, najua unapenda nini wewe tena, Ntafurahi kupata majani zaidi na zaidi na uji ukiwa wa ulezi itakuwa mswano ile ileeee! hebu kabla haujaisha huo unganisha na huu hapa: NO WOMAN NO CRY!.. Pls fanya hima uniPM ili nijue wapi pa kukupata nisipokuona tena bana, roho isije konda tena...:dance:
hahahha hahah naona rtaha mie
lakin nikifukuzwa kaz utanisitr ras?manake nimeenda kujicheba chemba ili nichat apa
ntaku pm usijal wangu mi nba wewe tena ni km tosh na boby!!!