Rose muhando aipasua ndoa ya alex msama

Status
Not open for further replies.
Nadhani tufikia mahali tuangalie ile sheria ya habari/magazeti vinginevyo huu mwanya wa magazeti ya udaku kuandika chochote tu unaweza kuigharimu sana jamii ya watanzania

wanaoandikwa wanapenda na si ajabu wanamwambia shigongo awaandike.
Kwao ni umaarufu, kama ni kuwadhalilisha wangesha mshtaki.
 
Tena ukweli wamewakosea adabu sana hawa wanandoa ingekuwa vinginevyo huyu mwandishi alitakiwa kushitakiwa. maana wenye ndoa wamesha sema hakuna tatizo bado yeye analazimisha, kama hana pesa na anatafuta kwa njia hiyo basi hiyo pesa wala haina faida kamwe tena ashindwe na kulegea.
 
kwa kweli waandishi wa habari ningekuwa na uwezo ningewafanyia workshop ili waimprove manake vichwa vya habari wanavyotuandikia katika magazeti huwa tofauti na habari yenyewe. Angekuwa nchi zingine angeshitakiwa huyu.
 
Udaku Plus + tatizo haya magazeti huwa yanatoa habari za ajabu ajabu tu ...kichwa cha habari hakinivutii kuendelea kusoma ....
soma mwaya, soma hata kama hupendi fast lad ukitaka kusaidia, kuona na baadaye kuwa mshauri wa ushauri wa ushauri (ushauri nasaha) kusoma kila takataka wakati mwingine muhimu nona kujihisi kuchefuka, lakini ukiona duhh imezidi kimbilia sinki achia kisha unarejea unasoma halafu unadroo konlulusheni na kusema pa,mbafu zao hawana adabu wala hawajui vibaya na mishipa ya noma imewapasuka ahh mungu awarehemu hapana mungu atupe subira na kutuongoza kwake amina
 
Hii ni kama udaku wa kina ruge na kusaga. tofauti hii upepo wa wachangiaji uko kivingine???It just a metter of time uongo kujitenga na ukweli.
 
Baba mzima , unarudi nyumbani na mfuko wa nyama kwa kuuza habari za uongo!

Huu nao ni ufisadi mwingine
 
Tena ukweli wamewakosea adabu sana hawa wanandoa ingekuwa vinginevyo huyu mwandishi alitakiwa kushitakiwa. maana wenye ndoa wamesha sema hakuna tatizo bado yeye analazimisha, kama hana pesa na anatafuta kwa njia hiyo basi hiyo pesa wala haina faida kamwe tena ashindwe na kulegea.
Jana nilisema yasemwayo yapo, kama hayapo tuyasubili yanakuja, anayeandika anakuwa na ushahidi tosha, pale anakwenda kuthibitisha tu kuwa kaongea nao walengwa, kama hakuna ukweli ni kwa nini wasiende mahakamani kumshitaki mwandishi?

ebu jiulize, gazeti la udaku likuandike kuwa limekukuta na changudoa gesti, likuulize ukatae liende kukuandika, ukae kimya, hapo sisi tutafikiliaje kama sio kuamini gazeti?, hawa wahusika kama wanasingiziwa waende mahakamani tu waone watakavyo umbuliwa mpaka yaliyofichika yatakapo wekwa adhalani zaidi
 
mwanzo wa kuwa msongombwingo na msokolokwinyo ni kupenda kusoma magazeti yenye habari zenye vianzo vya mitazamo ya mtu, na kutokuwa na uhariri wa kina na hii inatokana na kwamba duniani siku hizi watu wengi wanaishi kwa hisia na siyo kwa hakika, hasa nchi kwetu tanzania
 
Hii habari humu ndani inachafua hali ya hewa. Kama asingewapata wahusika wote watatu angeuliza jamani kuna anayejua kuhusu hiliii? sasa umeongea na Msama, umeongea na Laura na umeongea na Rose, unataka kuongea na nani zaidi ya hao watatu?? kweli udaku huu. Mimi Simo.
 
Jamani jamani! Umbea kama huu ndio unaorudisha nyuma maendeleo ya wanawake walio katika harakati za kijikomboa na umaskini. Kama wanaume na wanawake hawatashrikiana katika harakati hizi maendeleo ya mwanamke yatachukua muda mrefu sana kufikiwa. Ni mara nyingi imetokea wanawake na mwanaume wanaposhirikiana kibiashar kutokea maneno kama haya.

Sio vizuri magazeti kushika bango kuendeleza chuki hii. Ni vyema vyombo vya habari vikatumika kurekebisha. Andikeni habari zilizochunguzwa kwa usahihi. Rose Mhando chapa kazi achana na maneno ya kukatisha tamaa. Songa mbele achana na wanaokukatisha tamaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom