Ronaldo kuikosa mechi dhidi ya Inter Miami

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Taarifa ya Al Nassr imethibitisha kuwa nahodha wa klabu hiyo Cristiano Ronaldo hatokuwa sehemu ya Mchezo siku ya kesho dhidi ya Inter Miami CF.

Sababu iliyowekwa wazi ni kuwa, Staa huyo wa Ureno Jeraha lake limeonekana bado halijapona kikamilifu kama ilivyoarifiwa awali.

Nini maoni yako?
 
Taarifa ya Al Nassr imethibitisha kuwa nahodha wa klabu hiyo Cristiano Ronaldo hatakuwa sehemu ya Mchezo siku ya kesho dhidi ya Inter Miami CF.

Sababu iliyowekwa wazi ni kuwa, Staa huyo wa Ureno Jeraha lake limeonekana bado halijapona kikamilifu kama ilivyoarifiwa awali.

Nini maoni yako?
Dah,
Team Messi wataona kama wanakimbiwa.
 
Back
Top Bottom