Mjomba Malume JF-Expert Member Joined Apr 8, 2025 Posts 903 Reaction score 1,317 Jun 20, 2026 Thread starter #61
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,907 Reaction score 193,923 Jun 20, 2026 #62 Muda huongea... Cc: Mahondaw
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 36,932 Reaction score 49,429 Jun 20, 2026 #63 moudgulf said: Ronaldo kwa sasa ni kituko.. Mashabiki wa soka hawana shukrani, juzi juzi tu hapa ameimbwa sana, leo amekuwa wa kusimangwa Click to expand... Kila marefu yana ncha, huenda hii World Cup ikiisha CR7 akatundika daruga lakini ni vyema afikishe kwanza magoli 1000.
moudgulf said: Ronaldo kwa sasa ni kituko.. Mashabiki wa soka hawana shukrani, juzi juzi tu hapa ameimbwa sana, leo amekuwa wa kusimangwa Click to expand... Kila marefu yana ncha, huenda hii World Cup ikiisha CR7 akatundika daruga lakini ni vyema afikishe kwanza magoli 1000.
Mjomba Malume JF-Expert Member Joined Apr 8, 2025 Posts 903 Reaction score 1,317 Jun 21, 2026 Thread starter #64 Proved said: Kila marefu yana ncha, huenda hii World Cup ikiisha CR7 akatundika daruga lakini ni vyema afikishe kwanza magoli 1000. Click to expand... Akifanya masihara Messi atafikisha 1000 goals kabla yake.
Proved said: Kila marefu yana ncha, huenda hii World Cup ikiisha CR7 akatundika daruga lakini ni vyema afikishe kwanza magoli 1000. Click to expand... Akifanya masihara Messi atafikisha 1000 goals kabla yake.
Mjomba Malume JF-Expert Member Joined Apr 8, 2025 Posts 903 Reaction score 1,317 Jul 3, 2026 Thread starter #65 Jamaa anaonyesha jinsi alivyo goal machine kwa kufunga kwa penalty.