Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,660
- 21,091
Duh humu naona kupinga tu. Kwangu mimi namuona shujaa japo mimi ni Muislam. Mungu ampe pepo. Hii ndio mifano ya kuiga. Aliipa mgongo dunia na kuipenda akhera yake (hereafter). Apumzike salama Godwin. I believe hie is in heaven gate smilling.
Unaiga nini kwa mtu kama huyu? Unaiga kusali muda wote bila kufanya kazi au kitu kingine? Huu ni uzwazwa, huyu bwana alikua na matatizo ya akili na extremist