Rombo: Mwili wa Kijana Godwin Massawe wakutwa msituni ukiwa hautoi harufu. Wakutwa ukiwa na Rozari na Biblia

wakuu...hapa hamna uhakika kwamba dogo alikufa kwaababu ya njaa iliyosababishwa na kufunga......mimi theory yangu hapa ni kuna uwezekano mkubwa tuu akawa aling'Atwa na nyoka mwenye sumu mbaya ndio maana mwili hautoi harufu..baada ya kugundua hilo akaenda zake kwenye gogo kusali apokelewe huko aendapo.....

tuache kwenda kusali "nyikani" haya ni mambo ya kina Eliya
 
Schizophrenia
Schizophrenia is a serious mental disorder in which people interpret reality abnormally. Schizophrenia may result in some combination of hallucinations, delusions, and extremely disordered thinking and behavior that impairs daily functioning, and can be disabling.
People with schizophrenia require lifelong treatment. Early treatment may help get symptoms under control before serious complications develop and may help improve the long-term outlook.

Symptoms
Schizophrenia involves a range of problems with thinking (cognition), behavior or emotions. Signs and symptoms may vary, but usually involve delusions, hallucinations or disorganized speech, and reflect an impaired ability to function. Symptoms may include:

  • Delusions. These are false beliefs that are not based in reality. For example, you think that you're being harmed or harassed; certain gestures or comments are directed at you; you have exceptional ability or fame; another person is in love with you; or a major catastrophe is about to occur. Delusions occur in most people with schizophrenia.
  • Hallucinations. These usually involve seeing or hearing things that don't exist. Yet for the person with schizophrenia, they have the full force and impact of a normal experience. Hallucinations can be in any of the senses, but hearing voices is the most common hallucination.
  • Disorganized thinking (speech). Disorganized thinking is inferred from disorganized speech. Effective communication can be impaired, and answers to questions may be partially or completely unrelated. Rarely, speech may include putting together meaningless words that can't be understood, sometimes known as word salad.
  • Extremely disorganized or abnormal motor behavior. This may show in a number of ways, from childlike silliness to unpredictable agitation. Behavior isn't focused on a goal, so it's hard to do tasks. Behavior can include resistance to instructions, inappropriate or bizarre posture, a complete lack of response, or useless and excessive movement.
  • Negative symptoms. This refers to reduced or lack of ability to function normally. For example, the person may neglect personal hygiene or appear to lack emotion (doesn't make eye contact, doesn't change facial expressions or speaks in a monotone). Also, the person may have lose interest in everyday activities, socially withdraw or lack the ability to experience pleasure.
Symptoms can vary in type and severity over time, with periods of worsening and remission of symptoms. Some symptoms may always be present.
In men, schizophrenia symptoms typically start in the early to mid-20s. In women, symptoms typically begin in the late 20s. It's uncommon for children to be diagnosed with schizophrenia and rare for those older than age 45.
Symptoms in teenagers
Schizophrenia symptoms in teenagers are similar to those in adults, but the condition may be more difficult to recognize. This may be in part because some of the early symptoms of schizophrenia in teenagers are common for typical development during teen years, such as:

  • Withdrawal from friends and family
  • A drop in performance at school
  • Trouble sleeping
  • Irritability or depressed mood
  • Lack of motivation
Compared with schizophrenia symptoms in adults, teens may be:
  • Less likely to have delusions
  • More likely to have visual hallucinations
When to see a doctor
People with schizophrenia often lack awareness that their difficulties stem from a mental disorder that requires medical attention. So it often falls to family or friends to get them help.
Helping someone who may have schizophrenia
If you think someone you know may have symptoms of schizophrenia, talk to him or her about your concerns. Although you can't force someone to seek professional help, you can offer encouragement and support and help your loved one find a qualified doctor or mental health professional.
If your loved one poses a danger to self or others or can't provide his or her own food, clothing or shelter, you may need to call 911 or other emergency responders for help so that your loved one can be evaluated by a mental health professional.
In some cases, emergency hospitalization may be needed. Laws on involuntary commitment for mental health treatment vary by state. You can contact community mental health agencies or police departments in your area for details.
Suicidal thoughts and behavior

Suicidal thoughts and behavior are common among people with schizophrenia. If you have a loved one who is in danger of attempting suicide or has made a suicide attempt, make sure someone stays with that person. Call 911 or your local emergency number immediately. Or, if you think you can do so safely, take the person to the nearest hospital emergency room.

Hapo nilipo Bold mkuu its not easy,tuna few almost none access points
 
Hypothermia
Hypothermia is reduced body temperature that happens when a body dissipates more heat than it absorbs. In humans, it is defined as a body core temperature below. Symptoms depend on the temperature. In mild hypothermia there is shivering and mental confusion
Symptoms:Mild: Shivering, mental confusion, Moderate: No shivering, increased confusion, Severe : Paradoxical undressing, cardiac arrest
An example: During Napoleon Bonaparte's retreat from Russia in the winter of 1812, many troops died from hypothermia.
1551919037145.png
 
Buddha aliishi 600 BC na ana wafuasi wengi wanaokaribia wakristo sababu most of far East ni Budhists ukitoa baadhi ya waislam waliopo. Yeye alijinyima, alifunga na hakuongea ila pale alipotaka kutoa ujumbe kwa wafuasi wake jinsi ya kuis hi. Hakuamini katika uwepo wa Mungu ila kifo kikikukuta kama hujatenda mema utarudi kama kiumbe kingine ila ukiwa enlighted hurudi hivyo sisi sote tumekuwa tunarudishwa kwa kadri ya matendo yetu. Buddhism siyo dini ila ni kama mfumo wa maisha. Wajapan, wachina, waburmise, na watu wengi wa far east ndiyo imani yao.
 
SIMANZI

Godwin Frimin Massawe umeondoka katika Dunia hii lakini Tutakukumbuka na Tutakuombea.Mwanangu Godwin naamini Upo kwa Mungu unatuombea zaidi kwa jinsi kifo chako kilivyotokea. Sijawahi kusikia kifo cha aina hii zaidi ya kusoma kwenye vitabu vya maisha ya watakatifu. Godiwin alihitimu Kisale secondary 2012,shule ipo mkoani Kilimanjaro wilaya ya Rombo.Alipenda kuishi maisha ya sala,kusoma bibilia kila mara na alifika mahali akasema hakuna anachokitafuta duniani zaidi ya kuishi maisha yatakayomuongoza kufika mbinguni kwa kusoma na kufuata maandiko matakatifu ya bibilia.

Alienda kufanya kazi na Wilvic labour solution kama data entry. Lakin siku moja aliamua kuacha kazi akarudi nyumbani. Alipoulizwa kwa nn alisema "anafanya kazi masaa mengii mnoo mpaka anakosa muda wa kwenda kwenye ibada,kusoma bibilia na kufanya tafakar" aliendelea kusema "kuliko niendelee na kazi ambayo inaniweka mbali na Mungu halafu nikafa naiacha bora niache nikamtumikie Mungu" Akamwambia baba yake nataka kwenda kujiunga na mabrother niwe nasali mda wote. Akapelekwa.Lakini siku moja akarudi nyumban.

Alipoulizwa akasema kule nilifikiri ni sehemu ya kusali, kuimba na kusoma bibilia mda wote kumbe hapana. Bora nirudi nifanye mda wangu wote wa sala. Siku ya jumapili alienda kanisani na hakurudi nyumbani Alitafutwa kila mahali hakupatkana,Taarifa zilipelekwa mpaka kanisan na kituo cha polisi, Ni mwezi sasa umepita.

Jana taarifa za wazee wanaopasua mbao katikati ya msitu zikasema kuna mtu ameonekana alifariki muda mrefu na ana bibilia. Taarifa zilipotufikia basi baba yake anaondoka na polisi leo kuelekea msituni wakiongozwa na wale wazee wapasua mbao.

Msitu upo Kule katangara,mwisho wa watu kuishi unaingia ndani mwendo wa masaa manne. Kuna barid kali sana na wanyama wakali pia. Ndipo wakamkuta Godiwin amepiga magoti kwenye gogo, akiwa na Rozary yake shingoni na biblia ipo chini imefunguliwa kitabu cha SIRA. Godiwin ameshaoza amebaki mifupa tuu na hatoi harufu yoyote. Amevalia nguo zake vilevile. Godiwin alienda msituni kufunga na kusali mpaka akafariki.

Polisi na baba yake wakamchukua na kumpeleka katika chumba cha kuhifadhia maiti kule Huruma hospital.

Taratibu za mazishi zinaendelea.Godiwin aliamua kujitoa kutuombea na kusali na Mungu aliamua tunapomtafuta tusimkute mpaka mapenz yake yatimie.Basi ni majonzi kwa familia na wazazi na wahitimu na wanafunzi wa kisale secondary, wananchi wote wa mashati rombo,kanisa Katoliki na watanzania wote kwa ujumla.

Tumuombee Godwin wakati huu akiwa na malaika na watakatifu mbinguni makao ya kusali na kumsifu Mungu milele yote.


------------------
Mwili wa kijana mwenye umri wa miaka 25 umepatikana katika msitu wa Katangara chini yake kukiwa na Biblia, huku ukiwa umevaa rozari shingoni na umepiga magoti.

Kijana huyo, Godwin Massawe, mkazi wa Kijiji cha Msaranga wilayani Rombo ambaye alitoweka Jumapili ya Januari 20 baada ya kuaga kuwa anakwenda kanisani, mwili wake ulikutwa porini Machi Mosi.

Baba mzazi wa kijana huyo, Frimin Massawe aliliambia Mwananchi jana kuwa, baada ya mwanaye kutoweka alitoa taarifa polisi na kanisani ili asaidiwe kupatikana kwake.

“Tulipeleka taarifa polisi mpaka kanisani, lakini hatukufanikiwa. Jana (juzi) nililetewa taarifa na wazee wanaopasua mbao katikati ya msitu (wa Katangara) wakasema kuna mtu ameonekana amefariki (dunia) muda mrefu,” alisema Massawe.

Alisema watu hao walimweleza kuwa marehemu amepiga magoti akiwa na Biblia huku amevaa rozari, ndipo alipoongozana nao kwenda polisi na baadaye msituni.

“Tukafika hadi Katangara na kuingia ndani (ya msitu) mwendo wa saa nne. Kule kulikuwa na baridi kali sana na wanyama wakali, lakini bado niliona maajabu ya Mungu.”

Alisema, “Huwezi amini nilimkuta mwanangu Godwin amepiga magoti kwenye gogo akiwa na rozari yake shingoni na Biblia ipo chini imefunguliwa kitabu cha Joshua huku akiwa ameoza.”

Mzazi huyo alisema mabaki ya mwili huo yalikuwa hayatoi harufu, jambo alilodai kuwa ni ‘muujiza’.

Baba mdogo wa marehemu, Simon Massawe alisema tukio hilo limewashangaza na kama familia wameumia kwa kuwa kijana wao alikuwa mtu wa maombi muda mwingi.

“Sisi kama familia tumelipokea kwa huzuni kubwa, hatukutegemea kumkuta amekufa. Ila kama amekufa kiimani let it be (acha iwe hivyo),” alisema.

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Hamis Issah alisema mwili wa kijana huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Huruma iliyopo wilayani Rombo.

Mwananchi
Huyu pumbavu tuu ndo maana akafa akiwa mdogo.uchawi was warumi umemcost.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KATIKA HIYO HABARI PIA KUNA EXAGGERATION OF EVENTS. INAONEKANA MLETA UZI AMESIMULIWA HAKUONA TUKIO; TUNAHITAJI PICHA TAFADHALI ILI TUONE KAMA KWELI ALIKUWA AMEOZA NA KUBAKI MIFUPA KWA MUDA WA MIEZI MIWILI
 
Hahaa kwa msimamo huo Godwin bila shaka ametangulia mbele ya haki akiwa bado ni virgin😃😃😃
 
Watu wa aina ya Godwin wapo wachache, mmoja wao yupo Russia, saivi ni kivutio cha Ulimwengu japo bado anaishi.
 
wakuu...hapa hamna uhakika kwamba dogo alikufa kwaababu ya njaa iliyosababishwa na kufunga......mimi theory yangu hapa ni kuna uwezekano mkubwa tuu akawa aling'Atwa na nyoka mwenye sumu mbaya ndio maana mwili hautoi harufu..baada ya kugundua hilo akaenda zake kwenye gogo kusali apokelewe huko aendapo.....

tuache kwenda kusali "nyikani" haya ni mambo ya kina Eliya
kwaiyo mambo yakina elia yamepitwa na wakati kwaiyo tugange ya jayo eeet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh humu naona kupinga tu. Kwangu mimi namuona shujaa japo mimi ni Muislam. Mungu ampe pepo. Hii ndio mifano ya kuiga. Aliipa mgongo dunia na kuipenda akhera yake (hereafter). Apumzike salama Godwin. I believe hie is in heaven gate smilling.
 
Back
Top Bottom