luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
Wachaga wanapenda kuabudu Mwenyez Mungu Hilo liko wazi
Ni washika dini wazuri mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni washika dini wazuri mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani unamaanisha " Buddha ". Hapana. Hawa ni watawa wa kiume kama nilivyoelezea hapo awali. Huitwa mabruda au "brother".kwa iyo nae alienda msituni awe "budaa"
Mungu hana utaratibu wa kumsamehe mtu asiyeomba msamaha mwenyewe, labda mnipe maandiko!Poleni! Lakini ni vyema sana kama tutatafuta kulijua kusudi la Mungu juu ya zawadi hii ya Uhai aliyotupa bure!! Tukumbuke pia kuwa Mungu hakuishia kutupa uhai tu,bali pia alitupatia vitu vyote muhimu vitakavyotuwezesha kuutunza na kuustawisha uhai huo kama vile Akili,chakula,mavazi na dawa pia! Na hakuishia hapo tu bali pia alitupa uwezo wa kuzaa na kuongezeka ili kuijaza dunia na kuitiisha!! Akampa baba yetu Adam bustani nna maagizo ya kuwa aitunze(kazi) sasa hivi tukifikiri kwa kina juu ya kusudi la Mungu kwetu tutafikia mahali tukubaliane kuwa Mungu alituumba tu ili tuje kusali,kusoma neno lake,na kufunga kula na kunywa hadi tufe??? Kwamba Mungu atafurahi ikiwa binaadam wote wataifuata njia hiyo ya Godwin ya kutofanya kazi,kutokula wala kunywa hadi kifo kitufike? Je dunia yake aliyotuumbia tuijaze na kuitiisha itastawi kwa mwendo huo?? imani inapaswa kwenda sambamba na uelewa thabiti juu yake!! Vinginevyo tutaishia kufanya mambo ya kumshangaza Mungu tukidhani ndiyo tunamfurahisha!! Godwin amekwepa wajibu muhimu sana kwa Mungu na kwa dunia ya Mungu!! Godwin ameonyesha ubinafsi wa kujitazama yeye tu akiwa mbinguni bila kuwajali ndugu na jamaa zake wengine watakaobaki na majonzi ya kupoteza mpendwa wao! Amemnyima Mungu utukufu na sifa ambazo angeendelea kumpa angelikuwa hai na ndiyo maana biblia inakataza kujiua! Yeye amejiua kwa makusudi! Amefanya dhambi!! Mungu amsamehe!
Hata kama ni huo siyo shida, pombe inaruhusiwa na biblia, ila kwa sababu ya ustarabu mdogo wa watu wachache ndio maana baadhi ya dini zilizuwiaUsije kufa ukiwa umefungua ukurasa unaoruhusu pombe!
Hata kama ni huo siyo shida, pombe inaruhusiwa na biblia, ila kwa sababu ya ustarabu mdogo wa watu wachache ndio maana baadhi ya dini zilizuwia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusali kutwa bila kufanya kazi? Kula na kunya unategemea ndugu na vyoo vyao? Dini gani ya kishenzi hiyo?Duh humu naona kupinga tu. Kwangu mimi namuona shujaa japo mimi ni Muislam. Mungu ampe pepo. Hii ndio mifano ya kuiga. Aliipa mgongo dunia na kuipenda akhera yake (hereafter). Apumzike salama Godwin. I believe hie is in heaven gate smilling.
inawezekana alichokikuta kwa mabraza ndo kilichompeleka msituni kufunga na kuomba
Duh humu naona kupinga tu. Kwangu mimi namuona shujaa japo mimi ni Muislam. Mungu ampe pepo. Hii ndio mifano ya kuiga. Aliipa mgongo dunia na kuipenda akhera yake (hereafter). Apumzike salama Godwin. I believe hie is in heaven gate smilling.
Maneno mazuri haya mkuu ....tena mkipatikana watu kumi kama nyie kila mkoa tutapunguza vifo vingi vya kizembe, yaani kuna watu unakuta anaambiwa funga mkanda anajibu simple tu "kama siku zako zimefika zimefika tu" au mwingine anaendesha gari bila tahadhariPoleni! Lakini ni vyema sana kama tutatafuta kulijua kusudi la Mungu juu ya zawadi hii ya Uhai aliyotupa bure!! Tukumbuke pia kuwa Mungu hakuishia kutupa uhai tu,bali pia alitupatia vitu vyote muhimu vitakavyotuwezesha kuutunza na kuustawisha uhai huo kama vile Akili,chakula,mavazi na dawa pia! Na hakuishia hapo tu bali pia alitupa uwezo wa kuzaa na kuongezeka ili kuijaza dunia na kuitiisha!! Akampa baba yetu Adam bustani nna maagizo ya kuwa aitunze(kazi) sasa hivi tukifikiri kwa kina juu ya kusudi la Mungu kwetu tutafikia mahali tukubaliane kuwa Mungu alituumba tu ili tuje kusali,kusoma neno lake,na kufunga kula na kunywa hadi tufe??? Kwamba Mungu atafurahi ikiwa binaadam wote wataifuata njia hiyo ya Godwin ya kutofanya kazi,kutokula wala kunywa hadi kifo kitufike? Je dunia yake aliyotuumbia tuijaze na kuitiisha itastawi kwa mwendo huo?? imani inapaswa kwenda sambamba na uelewa thabiti juu yake!! Vinginevyo tutaishia kufanya mambo ya kumshangaza Mungu tukidhani ndiyo tunamfurahisha!! Godwin amekwepa wajibu muhimu sana kwa Mungu na kwa dunia ya Mungu!! Godwin ameonyesha ubinafsi wa kujitazama yeye tu akiwa mbinguni bila kuwajali ndugu na jamaa zake wengine watakaobaki na majonzi ya kupoteza mpendwa wao! Amemnyima Mungu utukufu na sifa ambazo angeendelea kumpa angelikuwa hai na ndiyo maana biblia inakataza kujiua! Yeye amejiua kwa makusudi! Amefanya dhambi!! Mungu amsamehe!
Hawa waliotuletea dini bahati nzuri wenzetu wanatumia akili zao kufikiri lakini sie huku ndio hivyo tena kama ulivyoona kwa mleta uziData entry kaacha,
Seminary kusomea upadri kaacha,
Kakutwa kaoza,
Nguo kavaa,
Hanuki,
Kashika biblia,
ANASOMA KITABU CHA SIRA???!!!
Yupo mbinguni na watakatifu???!!!
MUANZISHA THREAD MUNGU ANAKUONA!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu!! Tatizo watu wengi hawaupendi uhalisia wa maisha kwa kuwa hauna Guarantee ya kuishi unavyotaka bila kufuata kanuni kadhaa Ngumu!! Sasa ili ku Skip hizo kanuni ngumu ndipo watu hao hupapasa macho huko na huko kuangalia kama wanaweza kupata more for short!! Na wanaishia kwa magic preachers who turns stone into gold (by words)na wanadanganywa kuwa wanaweza kupata wanachokitaka on their dreamy sleep night!! Kwa hiyo they lulled to sleep until too late!!! Sali,funga,soma hadi ufe na moja kwa moja unazama mbinguni!! Is all that simple?? Probably not!Maneno mazuri haya mkuu ....tena mkipatikana watu kumi kama nyie kila mkoa tutapunguza vifo vingi vya kizembe, yaani kuna watu unakuta anaambiwa funga mkanda anajibu simple tu "kama siku zako zimefika zimefika tu" au mwingine anaendesha gari bila tahadhari
Yeah, hata mimi CBT imenisaidia sana. Ni tiba nzuri sana.Huyo jamaa angepewa tiba ya CBT kutoka kwa physiologist asingeruhusu huo upuuzi wa kukaa bush mpaka kufa
Sent using unknown device
unaishi Tanzania ambako risasi inapigwa juu na kukunja na kuingia kwenye daladala na kumuua Akwilina? Labda inawezekanaHapa kuna shida kidogo kwenye simulizi, mtu kaoza,kabaki mifupa,lakini, kashika kitabu kimefunuliwa na ana nguo zake.
Au ndo miujiza hiyo?