Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,101
- 34,053
Kama si ya Uholanzi...wewe unazungumzia THE HAGUE ya wapi?Wewe kuona neno The hague umekariri ni ile ya uholanzi,
Unaelewa maana ya neno THE HAGUE? Usikurupuke
Maana ya The hague ni ipi?
Kama si ya Uholanzi...wewe unazungumzia THE HAGUE ya wapi?Wewe kuona neno The hague umekariri ni ile ya uholanzi,
Unaelewa maana ya neno THE HAGUE? Usikurupuke
Umelitoa wapi hilo?Siku sahihi ya ibada ni Jumamosi.
Mwenyewe bado ni mroma lakini ukweli mchungu.
Kwahiyo na wewe kwa kufuatilia habari hata hujui kama ni propaganda ukakimbilia ku-coclude...???Hufuatilii hata habari
Ni vituko mkuu...HIVI KANISA LA SABATO LILIANZA LINI?
MISINGI YAKE NI IPI?
WANASIMANIA NINI HASA?
Kwanini dhehebu lianzishwe na Mwanamke ? Mbona kama watu mnamdhihaki Mungu?
Ndio maana nikamuuliza...' unajua maana ya Arusha'Kama si ya Uholanzi...wewe unazungumzia THE HAGUE ya wapi?
Maana ya The hague ni ipi?
Nilichogundua...kubishana na watu kama hawa wasio na logistics wala points katika wanayoyaandika ni kujishusha kiuelewa kabisa.Ni vituko mkuu...
Seventh Day Adventist siyo Kanisa ni Kikundi cha Kiharakati kilichoanzia huko Marekani..
Ni Muunganiko wa Vikundi vitatu.
1. Kikundi cha William Miller
2. Kikundi cha Joseph Bates na Hiram Edson
3. Kikundi cha Ellen G White(Huyu mama alikuwa kichaa)
William Miller alufukuzwa kwenye Kanisa lake la Baptist, Ellen G White na Mumewe James White walitimuliwa kwenye kanisa la Methodist.....
Ni mambo mengi sana..
Ndio maana nikamuuliza...' unajua maana ya Arusha'
Sasa swali lake sikujua lililenga kujua maana na mji wa The Hegue au chimbuko la mji wa The hegue
Point!Nilichogundua...kubishana na watu kama hawa wasio na logistics wala points katika wanayoyaandika ni kujishusha kiuelewa kabisa.
Wao wameaminishwa na kumezeshwa nao wakameza tu...!
Leave them.
acha uongo Yesu alikuwepo kabla ya mudi na bible inasema yesu ndio atakuja kuwakomboa wazima na wafu sasa huyo mudi alisema hayo wapi?Ukitaka ijue ni mudi soma Biblia Takatifu yoote utang'amua tu..
acha uongo Yesu alikuwepo kabla ya mudi na bible inasema yesu ndio atakuja kuwakomboa wazima na wafu sasa huyo mudi alisema hayo wapi?Ukitaka ijue ni mudi soma Biblia Takatifu yoote utang'amua tu..
Umeambiwa inatumia sheria za Roma sio mahakama ipo Roma italy.Wacha kujaza watu ujinga.
The Hague ipo Uholanzi (Netherlands) na haipo Roma (Rome, Italy).
Mi sio.msabato wewe tatizo.la wakatoliki.na ugomvi wenu na wasabato.mnadhani kila.mtu msabato...Poor You. Ni kama waislamu wanavyohubiri mfumo kristo kuwa serikali imeingia mkataba na wakristo ilihali ni mikataba ya wakatoliki. Wanachanganya wote. Wake up!Kwahiyo na wewe kwa kufuatilia habari hata hujui kama ni propaganda ukakimbilia ku-coclude...???
Hebu acheni mambo za William Miller, Joseph Bates na EGW...zitawaponza....
Mbona umekimbilia kujihami hivi....Mi sio.msabato wewe tatizo.la wakatoliki.na ugomvi wenu na wasabato.mnadhani kila.mtu msabato...
Biblia yenyewe hiyo ni ya hao Wakatoliki...(Yani ni kitabu chao)Plus Mungu hana Dini. So toa porojo zako hapa za ukatoliki na usabato. Mleta mada alileta mada kutoka kwenye bible hakutoa kwenye kitabu cha sabato au catholic so bora ubishane na hiko kitabu
Kwahiyo walioandikwa mule ndani ya bible wote ni wakatoliki? Ooh ndio maana mnadanganywa kuwa petro ndio alikuwa Pope wa kwanzaBiblia yenyewe hiyo ni ya hao Wakatoliki...(Yani ni kitabu chao)
Una uhakika hili..Plus Mungu hana Dini.
Nani kasema anadanganywa..? Yani ukweli tudanganywe.. ?Kwahiyo walioandikwa mule ndani ya bible wote ni wakatoliki? Ooh ndio maana mnadanganywa kuwa petro ndio alikuwa Pope wa kwanza
Historia ya ukusanyaji wa Biblia naona imekupita kando kidogo..Kwahiyo walioandikwa mule ndani ya bible wote ni wakatoliki?
Hapa nimeshakupa jibu..nisome hapo chiniOoh ndio maana mnadanganywa kuwa petro ndio alikuwa Pope wa kwanza
Sabato ni kwa ajili mwanadamu. ,
Je wewe ni mbwa?