Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736
Kweli kabisa. Ukishindwa kupambana nao ungana naoEeeh
Anaye mkataza ahakikishe ana mpa Roma kazi ya maana ili Roma alishe familia. Kina Mbowe wenyewe wanalala jela sasa wewe mwananchi tuu kwa nn ushindane na chama bhana.
