Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Watanzania tupe picha story tutatunga sisi. Waliona picha wamepost rolls royce kuwa wanaiship tanzania, na wala hawakuandika kwa nani. Basi mtoa post kisa alisikia diamond dream car yake ni rolls royce akajua itakuwa ya Diamond. Akaleta habari.Kick tu