Sawa kidoti usiwe na waswas zitatoka tuIshatoka hiyo ikirudi pancha.
Tunasubiri collabo za Rihanna na Rick Ross sijui nazo tumepingwa changa kama Royce Rolls ilivyokuwa.
Sawa kidoti usiwe na waswas zitatoka tuIshatoka hiyo ikirudi pancha.
Tunasubiri collabo za Rihanna na Rick Ross sijui nazo tumepingwa changa kama Royce Rolls ilivyokuwa.
Hongera sana, kwa hiyo uko karibu sana na Diamond? ?Amefanya siri ili aje awakomeshe siku akiizindua ila watu tulioko huko tunajua
Naona umeamua kufukua makaburi?Bado Mchuma haujafika tu? Mwaka unaenda wa pili huu au meli imekwama baharini?
Ww kweli mchocheziWataalam wa TRA tupigieni hesabu za kodi yetu hapo Bandarini
Wataalam wa TRA tupigieni hesabu za kodi yetu hapo Bandarini
Mwaka wa nne huu.Weee nae matatizo yako usituletee hapa hesabu moja ya haraka ambayo hauijui revord label tu inaacha mzigo wa kutosha, caller tunes za WCB nazo huacha pesa ndefu, endorsement mbali mbali, shows jumlisha percent ya kila msanii aliepo WCB bado eti hauamini
The Rolls Royce musician from east africa aka diamond hatimaye amekamilisha ndoto zake za siku nyingi baada ya order yake ya gari aina ya rolls royce kukamilia na gari hilo liko njiani kuwasili mikononi mwake punde... Gari hilo aina ya rolls royce Drop Head coupe 6.7 litre V-12 ambalo limeagizwa kupitia kampuni ya Newline Luxury Motors ambalo order yake ina waiting time ya six months kuanzia unapolipia hadi litengenezwe hadi likufikie mteja.. View attachment 441705View attachment 441706View attachment 441707View attachment 441708View attachment 441709
Keep on waiting...Hili gari tokea 2015 naskiaga liko njian
Ndo linakatiza Suez Canal liingie Misri.. Nasikia linakuja likiendeshwaMwaka wa nne huu.
Ndo linakatiza Suez Canal liingie Misri.. Nasikia linakuja likiendeshwa
kuna muda mwaka jana nlisikia limefika...mpaka akapiga nalo pichaKeep on waiting...
Labda Ni customer made