Kumekuwa na mjadala mrefu kuhusu gari aliyonunua star wetu wa muziki wa bongo flavor Diamond platnamuz. Wengine wakisema eti gari hilo sio halisi ni fake, na wengine wakidai ni original.
Aina ya gari ni Rolls Royce cullinan. Kwa mwenye uelewa na haya magari tusaidie. Fake yanakuwaje, na orjino yanakuwaje.
Aina ya gari ni Rolls Royce cullinan. Kwa mwenye uelewa na haya magari tusaidie. Fake yanakuwaje, na orjino yanakuwaje.