Rojo rojo la Ichana na munkari ni shida!

Rojo rojo la Ichana na munkari ni shida!

Last edited by a moderator:
La ichana kwa macho gumu
Ila munkari ni zaid ya urojo yaani kitu wakiona kabisa kilaiiiiiiini
 
MCHUNGUZI HURU Hizi ni moja ya athari za wana JF kufahamiana na kuonana uso kwa uso, refer thread uliyoianzisha leo saa nne asubuhi.
Ona hapa Munkari alivohamaki,
''Mungu wangu!!!! Na huku tena??

Jamani jamani
Mnanionea!!!

Ila hilo rojo
Atakayelila lazima
Alambe sahani!!!!''

Hahahahaha we unavituko?

Kwahiyo umekuja kudhibitisha!!!
 
Last edited by a moderator:
mii huwa sijui tofauti ya wig na zile za asili, ICHANA njoo unambie huku, wee ni kabila gani? Mzungu ama? kuanzia leo naacha card gari nyumbani! daaah, hii hatari sana hii! hizi ni neema hizi!

HII ni orijinal my dear matunzo tuu......mimi mixer baba alikuwa pailot....ntakupm
siri ya mafanikio ntakuambia
 
HII ni orijinal my dear matunzo tuu......mimi mixer baba alikuwa pailot....ntakupm
siri ya mafanikio ntakuambia

Baeleze mimi ndio najuwa siri ya urojo wako!
 
Back
Top Bottom