Roho mbaya tulizonazo wanaume

Roho mbaya tulizonazo wanaume

EMMYGUY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
11,115
Reaction score
25,414
Unakuwepo kwenye chombo cha usafiri, labda unatoka Mwanza kwenda Dar. Kwenye siti ukapata nafasi ya kukaa na mwanamke, na safari inaendelea.

Mara mnaanza kujuana na kupiga mastori, mpaka kufika mwisho wa safari tayari huyo mwanamke umeshaanzisha nae mahusiano, na mda huo humjui vizuri kuhusu Tabia na Afya kwa ujumla.

Inakaaje hii, Mbona sisi wanaume ni waroho kiasi hicho?
 
Kujifanya asionekane zoba/domo zege kumbe ni ujinga kama ni mimi napiga nae story za kawaida tuu ila kupinga sound duu :what:
 
Back
Top Bottom