Roho inaniuma sana

eti namuamin sn,ni mtu wa dini aliniambia hajawahi!

Ndo hivi?
 
paragraph ya pili
 
Kama no hivyo mbona Bado ana pokea misaada ya kijana wa watu

Dame no Tapeli tu unampiga jamaa kijanja ana mtumia mchizi kihisia kufanikisha malengo yake madogo madogo
 
Untold truth
 
Kwanza hapo alivyojibiwa kuwa alifanya mara mbili na jamaa ake "ALIEMPENDA SANA TENA SANA" kwa kuweka msisitizo inaonyesha wazi kabisa kuwa jamaa hapendwi ila analazimisha tu.
Naam
 
Yaani mwanamke wa era hii ana kuambia Yuko bikira na unamuani omg


Watu wana date na vibinti vina miaka 15 na. Wana vikuta vikiwa haviko virgin sembuse huyo ambaye yupo Uni kabisa , Yaani awe anasoma uni then Bado ana bikira , Aisee ningekufa Sasa hivi
 
Bora hata Shamila wetu ana mwandiko mzuri, maana screenshot za wana JF hutuua mbavu.
 
Anakupima wivu huyo
.
. Nenda kwenye uzi wa kula tunda kimasihara kachukue ujuzi mbn analika huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…