Roho inaniuma sana

Daaah mkuu nilimuamini ukizingatia ata mzazi wake ananijua na sometime akiw na shida namsaidia kiaina
 
Shukrn mkuu kwa ushauri
 
Masta we mgeni wa wanawake eeeh? Ndio mwanamke wako wa kwanza?.Piga chini huyo utapata mali nyingine safi kabisa.Inauma ila piga chini huyo.
Hakika mkuu nimeumia ila ngoja nisonge mbere
 
Pole jamaa, lakin unaonekana unaililia mno mbunye na yeye ameshajua we ni dhaifu unampenda kupitiliza. Fanya kila kitu kwa kiasi penda kwa kiasi. Wanawake ni wengi mno asijione yeye keki, temana nae usonge mbele na maisha yako.
Nimekupata master
 
mkuu shukrn nimekupata ila namba sikupi
 
Anza kuufanyia kazi huu ushauri mkuu.
 
Mie dem akinipiga tukio huwa simwachi ila naendelea kula.mbunye yake but simhudumii hata senti hata nikimaliza kula kisshani chake kila mtu anapita mlango wake. Nitatafuta pis kali kuliko yeye ndo nakuwa naipa kila kitu, siku akichoka atajiondoa mwenyewe. Mbunye huwa haiziriwi
 
Ogopa sana wanawake wanaopenda hiyo misemo mara Only God can judge me. Mimba za kutosha zishatoka, mara washakula vya watu
Ni defence flani hivi nadhani ili binadamu asimuonye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…