Roho inaniuma sana, toka Kenya ipige marufuku mifuko ya plastiki wametugeuza Tanzania dampo la kutuuzia walichokizuia kwao?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,063
40,724
Mheshimiwa Rais Magufuli, baada ya kumpigia kelele waziri wako wa mazingira mh.January Makamba kwa takriban miaka mitatu bila mafaniko nimeamua nije kwako moja kwa moja sina budi.
Rais wangu mpendwa, kuna tija gani ya kuendelea kutumia mifuko ya plastiki ilihali 90% ya mifuko ya plastiki inaagizwa toka Kenya? Tena kuongeza chumvi na pilipili kwenye kidonda Kenya wamepiga marufuku matumizi na uagizaji wa mifuko hiyo, lakini wanaendelea kufaidi uchumi wa viwanda kupitia mgongo wa Tanzania, kwani viwanda hivyo huuza takataka zao zote nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais, kama kuna haja sana ya kutumia mifuko hii, basi izalishwe yote Tanzania ili vijana wapate ajira kupitia viwanda hivyo, ila napendekeza matumizi ya mifuko mbadala ambayo uzalishaji wake utatoa ajira pia kwa vijana na kuweka mazingira safi.
Mheshimiwa Rais, sio siri tena, mifuko hii ina madhara yaliyodhahiri kabisa,wewe ni mkemia, unajua ninachokizungumza.

Fahamu hatari kubwa zinazozikabili nchi zinazotumia mifuko ya plastiki - JamiiForums
===============================
Update: 04/06/2019
Rais Magufuli atilia mkazo zuio la mifuko ya plastiki soko la ferry.


============================
kapu6.jpg


=================================
Baada ya Rwanda kupiga marufuku mifuko ya plastic, vijana wengi wamepata ajira katika uzalishaji wa mifuko mbadala

Inatia uchungu sana, Rwanda ni jirani zetu tu hapo, kwanini wanatushinda kwenye hata vitu vidogo tu kama hivi?

=================================
Rwanda walipiga marufuko mifuko ya plastiki miaka 10 iliyopita, ona matokeo mazuri waliyonayo, hongera Paul Kagame kwa uongozi uliotukuka


================================
Update: 09/03/2019
Mifuko ya pkastiki imepigwa marufuku
 
Mheshimiwa Rais Magufuli, baada ya kumpigia kelele waziri wako wa mazingira mh.January Makamba kwa takriban miaka mitatu bila mafaniko nimeamua nije kwako moja kwa moja sina budi.
Rais wangu mpendwa, kuna tija gani ya kuendelea kutumia mifuko ya plastiki ilihali 90% ya mifuko ya plastiki inaagizwa toka Kenya? Tena kuongeza chumvi na pilipili kwenye kidonda Kenya wamepiga marufuku matumizi na uagizaji wa mifuko hiyo, lakini wanaendelea kufaidi uchumi wa viwanda kupitia mgongo wa Tanzania, kwani viwanda hivyo huuza takataka zao zote nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais, kama kuna haja sana ya kutumia mifuko hii, basi izalishwe yote Tanzania ili vijana wapate ajira kupitia viwanda hivyo, ila napendekeza matumizi ya mifuko mbadala ambayo uzalishaji wake utatoa ajira pia kwa vijana na kuweka mazingira safi.
Mheshimiwa Rais, sio siri tena, mifuko hii ina madhara yaliyodhahiri kabisa,wewe ni mkemia, unajua ninachokizungumza.

Fahamu hatari kubwa zinazozikabili nchi zinazotumia mifuko ya plastiki - JamiiForums
Bandiko mujarab !
 
Mheshimiwa Rais Magufuli, baada ya kumpigia kelele waziri wako wa mazingira mh.January Makamba kwa takriban miaka mitatu bila mafaniko nimeamua nije kwako moja kwa moja sina budi.
Rais wangu mpendwa, kuna tija gani ya kuendelea kutumia mifuko ya plastiki ilihali 90% ya mifuko ya plastiki inaagizwa toka Kenya? Tena kuongeza chumvi na pilipili kwenye kidonda Kenya wamepiga marufuku matumizi na uagizaji wa mifuko hiyo, lakini wanaendelea kufaidi uchumi wa viwanda kupitia mgongo wa Tanzania, kwani viwanda hivyo huuza takataka zao zote nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais, kama kuna haja sana ya kutumia mifuko hii, basi izalishwe yote Tanzania ili vijana wapate ajira kupitia viwanda hivyo, ila napendekeza matumizi ya mifuko mbadala ambayo uzalishaji wake utatoa ajira pia kwa vijana na kuweka mazingira safi.
Mheshimiwa Rais, sio siri tena, mifuko hii ina madhara yaliyodhahiri kabisa,wewe ni mkemia, unajua ninachokizungumza.

Fahamu hatari kubwa zinazozikabili nchi zinazotumia mifuko ya plastiki - JamiiForums
Umetoa wazo zur ila hujaja na alternative ya hiyo mifuko mkuu
 
lakini jiwe hashauriki, pale boda ya Namanga ukifika unakaguliwa begi na wakiona una mfuko wa plastik ndani unanyang'anywa, lkn nchi takataka inachoma vifaranga na kupokea uchafu wa plastik, hovyo sana
Sidhani kama kwenye hili hawezi kushaurika ! Punguza hasira ndugu. Mamlaka za kusimamia sheria za mazingira zipo, walione hili na kulifanyia kazi.
 
Unashauri tuige kila kitu kutoka kwa wakenya!!?
Hapana si hivyo! Walau kujua wenzetu wanafanyaje ni hatua moja kuelekea upatikanaji wa ufumbuzi. Pia tuko katika East Africa Community so it wouldn't sound sinful to copy some of solutions to our common problems.
 
Si wazo jipya, Tanzania tunaelekea huko Upo mpango kazi kusitisha kabisa baada miaka michache, kulinda viwanda na walipewa sharti kuzalisha unene mzito, reusable kipindi cha mpito. Details Mh. Makamba na team yake watafafanua.
 
Hapana si hivyo! Walau kujua wenzetu wanafanyaje ni hatua moja kuelekea upatikanaji wa ufumbuzi. Pia tuko katika East Africa Community so it wouldn't sound sinful to copy some of solutions to our common problems.
Naona umetumia kakingeleza kidogo anyway na mm siyo mzembe nakufuata huko huko...
Of course for same instance you are right but according to me there Will be difficult to win Kenya if every thing we are still copying from them, remember we are in economic competition between Kenya and Tanzania if not east Africa in general....we have to come with new idea good than what they do.
 
Si wazo jipya, Tanzania tunaelekea huko Upo mpango kazi kusitisha kabisa baada miaka michache, kulinda viwanda na walipewa sharti kuzalisha unene mzito, reusable kipindi cha mpito. Details Mh. Makamba na team yake watafafanua.
HAPANA, HATUWEZI KUENDELEA NA HIZI HADITHI ZA MICHAKATO, PLEASE NO!, Inahitaji miongo mingapi kuzuia uagizaji wa mifuko toka Kenya? Viwanda vya ndani vya mifuko vinaweza kuzalisha mifuko mbadala na si lazima ya plastiki, ajira zitaongezeka na mazingira yataboreka, i wish usingeweka hii comment, please NO!
 
Naona umetumia kakingeleza kidogo anyway na mm siyo mzembe nakufuata huko huko...
Of course for same instance you are right but according to me there Will be difficult to win Kenya if every thing we are still copying from them, remember we are in economic competition between Kenya and Tanzania if not east Africa in general....we have to come with new idea good than what they do.
Mwenzako akifanya jambo lenye tija hakuna ubaya kumuiga, wala hakuna haja ya kuona aibu kuiga mazuri, Kenya wamefanya jambo zuri, na ni vyema tukawaiga, hizo zingine unazoleta ni porojo za kuvuruga mada, please usifanye hivyo comrade.
 
Mheshimiwa Rais Magufuli, baada ya kumpigia kelele waziri wako wa mazingira mh.January Makamba kwa takriban miaka mitatu bila mafaniko nimeamua nije kwako moja kwa moja sina budi.
Rais wangu mpendwa, kuna tija gani ya kuendelea kutumia mifuko ya plastiki ilihali 90% ya mifuko ya plastiki inaagizwa toka Kenya? Tena kuongeza chumvi na pilipili kwenye kidonda Kenya wamepiga marufuku matumizi na uagizaji wa mifuko hiyo, lakini wanaendelea kufaidi uchumi wa viwanda kupitia mgongo wa Tanzania, kwani viwanda hivyo huuza takataka zao zote nchini Tanzania.
Mheshimiwa Rais, kama kuna haja sana ya kutumia mifuko hii, basi izalishwe yote Tanzania ili vijana wapate ajira kupitia viwanda hivyo, ila napendekeza matumizi ya mifuko mbadala ambayo uzalishaji wake utatoa ajira pia kwa vijana na kuweka mazingira safi.
Mheshimiwa Rais, sio siri tena, mifuko hii ina madhara yaliyodhahiri kabisa,wewe ni mkemia, unajua ninachokizungumza.

Fahamu hatari kubwa zinazozikabili nchi zinazotumia mifuko ya plastiki - JamiiForums
Fungua kiwanda cha hizo takataka.
 
Back
Top Bottom