Sio kuumi MY NDUGU, KUFA KIBUDUKabisa mkuu, ukiambiwa ivo kubali aende tu. Ukilazimisha sana utaumia kinoma baadae.
Heee??Nashindwa kuelewa hizi Tags za App..
Sipati notification Yaani.. Imagine napitia huu uzi ndiyo naona umenitag Witty
Huwezi kuamini...Heee??
Kwahiyo usingepita hapa ndo ingekuwa nitolee?
Duuh pole...mi naona ila kuna muda notification inapoteaHuwezi kuamini...
Kuna wakati naweza kuona mtu amenitag hata baada ya mwezi .
Ahsante Dear..Duuh pole...mi naona ila kuna muda notification inapotea
App dearAhsante Dear..
Unatumia App au browser?
Maana watu wa App ndiyo tuna shida hii..
Ok Dear ngoja tuone..App dear
Basi inategemea asee
Lkn badae itakuwa ok hata mimi kuna siku ilikuwa inanizingua
U too darlingOk Dear ngoja tuone..
Uwe na siku njema Maa..
Kwa ukweli huyo binti hana upendo na wewe, upendo hauna masharti, hana uvumilivu atakusumua mbeleni kubali kuumia kwa sasa ila baadaye utapata wa kukupenda, mwache aendeKipindi nina mgogoro na mpenzi wangu niliomba ushauri humu JF kutokana na tabia za mpenzi wangu wengi walinishauri nijaribu kukaa naye chini na kuzungumza nae kiupole hatimaye nimefanikiwa na tumezungumza .
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake
Usimtie moyo huenda hatapata wa kumpenda.Kwa ukweli huyo binti hana upendo na wewe, upendo hauna masharti, hana uvumilivu atakusumua mbeleni kubali kuumia kwa sasa ila baadaye utapata wa kukupenda,mwache aende
Upendo ni tabia ya Mwenyezi Mungu nasi viumbe vyake tumeridhi kutoka kwake. Kwa tabia ya asili Upendo hauna vigezo ndiyo maana soma 1 Korinto. 13 hapo utaona upendo hauna vigezo, waingereza unconditional love. Ila zipo sifa za watu wanaopendana kama ukweli, uaminifu, msamaha, kushirikishana au kusaidiana ,n.k ndiyo maana mwanaume anapotaka kuoa anabidi aombe kwa Mungu ampe mke mwema, kwani Mungu aliahidi nitakupa wa kufanana nawe.Usimtie moyo huenda hatapata wa kumpenda.
Hivi ni kweli upendo haunaga vigezo?
Hebu tuwe wakweli.
1. Kama wewe unapenda aina flani ya mtu awe mpenzi wako hiyo sio kigezo?
2. Ikiwa muda wote amemvumilia huo sio upendo?
3. Je mwanamke hupenda au hupendwa naye hutii na kujifunza kukuzoea hatimaye upendo?
Tuwe na mjadala wa kweli na sio blabla
Ndugu huwezi kuishi na mtu mwenye kukupa mashinikizo huku hakuonyeshi ushirikiano wowote wa wote kuvuka kwenda uchumi wa kati, hiyo ni dhana potovu, wakae pamoja wapange mipango na washirikiane pamoja. Uchumi ukipanda si ni wa familia kwani ni wa mwanaume mwenyewe.Laiti wanawake wote wangekua kama huyo binti! Kumpata mtu anaekupa changamoto za maendeleo sio jambo rahisi. Tuweke hisia na mihemko pembeni, huyo binti anachotaka ni uhakika wa future. Ndio maana anamwambia baharia ajitahidi kukaza kidogo kuingia uchumi wa kati ili waende sawa.
Kuna movie sikumbuki vizuri lakini kama sikosei inaitwa "The Diary" jamaa alidhalilika na kudharaulika kisa ufukara, hii ilimpa ari na nguvu akafanya mabadiliko makubwa sana.
Huo ndiyo ukweli hamna kuficha mwanamke maslahi huyo.Yani kama ni mtu mzima na unajua kuchanganua mambo mpaka hapo situation ilipofikia inaonesha mwanamke wako hana mapenzi kabisa na wewe afu pia yuko kimasilahi zaidi ndo maana anahitaji utengeneze mafanikio yako ila kiuhalisia angekua anakupenda mngetafuta mafanikio pamoja na yeye