Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kipindi nina mgogoro na mpenzi wangu niliomba ushauri humu JF kutokana na tabia za mpenzi wangu wengi walinishauri nijaribu kukaa naye chini na kuzungumza nae kiupole hatimaye nimefanikiwa na tumezungumza .
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake