Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Demu anamkimbia mwamba kwa sababu hana pesa. Pesa ndio bright future mzee baba.Issue sio kuzikamata bali issue ni future! Unaweza kuzikamata halafu bado usioneshe bright future!
Demu anamkimbia mwamba kwa sababu hana pesa. Pesa ndio bright future mzee baba.Issue sio kuzikamata bali issue ni future! Unaweza kuzikamata halafu bado usioneshe bright future!
Mkuu, suala sio kuwa maadui. Issue ni kwamba kilichokuwa kinatuweka pamoja ni mapenzi na sasa yamekwisha, kwanini tuendelee kuwasiliana?Halafu hiyo sijawahi kuwa na uadui na ex-wangu!! Hata ikitokea tuliachana katika mazingira ya kununiana, LAZIMA nitafuta namna ya kusawazisha mambo bila kujali nani tatizo ili mradi tu finally tuwe apart in peace!!!
Infantry Soldier, grow up man! You don't need to make your ex one of your "enemies"!
Hasipooa atawaambia nini ndugu zake ?Mkuu tafuta pesa uishi kwa furaha na starehe hakuna maisha tofauti na aya ..sio lazima kuoa unaweza chagua kuwa na watoto watakao pata mgao wa mali au ukaacha watu wagombanie jasho lako.
Unatega mingo ili siku mmoja akifanikiwa amsaidie mwenzake kwa jina la urafikiMkuu, suala sio kuwa maadui. Issue ni kwamba kilichokuwa kinatuweka pamoja mapenzi na sasa yamekwisha, kwanini tuendelee kuwasiliana?
Mimi sina tabia hii hata kidogoUnatega mingo ili siku mmoja akifanikiwa amsaidie mwenzake kwa jina la urafiki
....blo, swala la kumpa mimba mwanamke vs kumfikisha kileleni n maswala mawili tofauti kabisa.Mkuu kubali kuachana harafu tafuta pesa siku ukiwa vizuri muonyeshe kwa vitendo.
Kitu cha pili tafuta mademu wa kupunguza stress(kupiga na kusepa) watakuondolea stress za kuwaza waza ovyo.
Tatu Komaaa kutafuta pesa ubadilishe maisha yako na ujue kabsa kwamba mwanamke akishakutamkia kwamba tuachane yeye kashajipanga muda mrefu.
Nishawahi kuachana na mwanamke harafu nikaambiwa nilikuwa simfikishi na wakati muda huo ashatoa mimba yangu, sasa nikajiuliza kama nilikuwa simfikishi hiyo mimba iliigiaje?
No, hapo itakuwa ambacho kiliwaweka pamoja ni ngono, na suala la uwezekano wa kufanya ngono likishaisha, then hayo mengine ndo hutokea!!Mkuu, suala sio kuwa maadui. Issue ni kwamba kilichokuwa kinatuweka pamoja ni mapenzi na sasa yamekwisha, kwanini tuendelee kuwasiliana?
Demu anamkimbia mwamba kwa sababu he doesn't show a bright future! Kwani hapo kabla alipokuwa nae alimkuta akiwa na pesa?!Demu anamkimbia mwamba kwa sababu hana pesa. Pesa ndio bright future mzee baba.
NdioKwani hapo kabla alipokuwa nae alimkuta akiwa na pesa?!
Issue sio ku-look back lakini unavyoachana kwa vitimbwi na misonyo huku ukikimbilia kufuta contacts zake inaonesha wazi kwamba bado unamtaka, na pia huwezi ku-manage personal conflicts kama nilivyosema hapo awali!!Kwangu mimi ni never. Nikiachana na mpenzi wangu, that is a one way ticket, I will never look back.
Future ndio pesademu anaweza kuwa na wewe kwa sababu ana-anticipate your future!
Ningekuwa bado ninamtaka nisingefuta number yake. Mkuu, I am writing this from my personal experience.Issue sio ku-look back lakini unavyoachana kwa vitimbwi na misonyo huku ukikimbilia kufuta contacts zake inaonesha wazi kwamba bado unamtaka
Ninafikiri kila mtu ana namna yake ya ku-manage personal conflict. That's how I handle separation.huwezi ku-manage personal conflicts kama nilivyosema hapo awali!!
Upo sahihi kwa kiasi fulani ingawa sio sana ndio maana na mimi ninafuta number zake na kumpiga block social media ili na mimi kumuonesha kuwa yeye si lolote wala chochote kwangu na ninaweza kuishi bila yeye.Na kwa kawaida, hayo mambo ya kukimbilia kufuta contacts yanatokea sana pale wewe unapopigwa chini au unapoona dalili zote kwamba Manzi hana time na wewe!!!
Hasipooa atawaambia nini ndugu zake ?
Mbona husemi ndugu wanataka huishi kadri wanavyotaka wao.Ndio changamoto zetu unaishii kuangalia ndugu
Sio poa mkuuMimi sina tabia hii hata kidogo
Mbona hajajaNow you're talking! Nitakutumia Bajaj mida ya saa 3-4 usiku ili akufuate!!
Halafu nina hamu kishenzi na mchuzi wa pweza