Roho inaniuma. Amekosea maessage akaituma kwangu.

Roho inaniuma. Amekosea maessage akaituma kwangu.

Mwache aje na revised version ya thread ili tupate story next time. Watu wameuziwa hadi picha za maghorofa ya Posta sembuse picha ya mwanamke. Halafu hiyo picha katumiwa makusudi, mtu mwenyewe wala hayupo hivyo, ameidownload kutoka faces.com., si anajua ushiboy ndio ugonjwa wake!

Simply..!!
Utaje huo ungojwa wetu mkuu, labda tutapata tiba humu jf
 
Nimdada mrembo wa haja na mwenye sura ya kuvutia, kwa mujibu wa picture ambazo amekua akinitumi.
Huyu dada tulikutana kwenye moja ya social net, tukapendana na kukubaliana kuwa wapenzi pindi nitakaporudi huko Tz.
Leo baada ya kutoka kibaruani tukaanza kuchat kamakawaida, chaajabu akanitumi massege ya kuahidi kufika mapema ilikua ina maneno ya mahaba yakiambatana na shukrani kwa penzi (makatiko) alopewa.
Nilipo muuliza kuhusu hiyo massege, amekaa kimya na nikimpigia cm hapoke.
Hadi nalileta kwenu wadau, nimekosa usingizi na sijui lakufanya.

unamiliki bastola??
 
Mnashindwa kuunganisha dot. Inawezekana hajazoea touch screen so haipendezi kutoa maamuzi ya haraka vinginevyo na wewe ushiboy ulikuwa na mwingine.
 
Last edited by a moderator:
Mnashindwa kuunganisha dot. Inawezekana hajazoea touch screen so haipendezi kutoa maamuzi ya haraka vinginevyo na wewe ushiboy ulikuwa na mwingine.

Mkuu, asante kwa marekebisho ya kwenye vi-dot.
Lakini mm nipo man alone mkuu
 
Last edited by a moderator:
Naona wateja wa pisto wanazidi kuongezeka. Bro usiwekeze sana kwenye mapenzi ya namna hiyo, unatafuta heartbreak.
 
Ukiona manyoya.............
Pole sana, we songa mbele tu na life lako. Usije tu ukamuibukia na SMG mtoto wa watu kama wale wa pande za kule kwetu Moshi.

...mkuu huyu jamaa hata manyoya hajayaona, kasikia mlio wa kuku tu basi anajipa hope siku wakija wageni atachinjwa teh teh...
 
Mungu akupunguzie maumivu,songa mbele na kila likuepukalo lina kheir na wewe,labda hiyo ndio salama yako.........
 
hahaaa, hi kali mkuu nimeipenda. Mnakutana online hata kuonana bado na mnaahidiana mambo kibao.
Mwisho wa ck mtafunga ndoa hukohuko online, sasa sijui watoto mtazaaje?
Watatumiana mbegu kwa bluetooth...
 
Mkuu, kaa kimya. Madem wa mbele ni wazuri kwa kuwaona kwenye picture na kwakusimuliwa.
Lakini, mmmmhhhhh.................!!

hahaha hebu malizia hizo ...... ushiboy
 
Last edited by a moderator:
hapo bado hujamlala teyari unakosa usingizi,je ungemlala si ndio ungejiua kabisa? hakuna mapenzi kama hayo we ukifika bongo utawakuta wanawake wako kibao.
Nalog off

Una maneno weweeeee Washawasha
 
Last edited by a moderator:
Futa Delete kabisa huyo, usijemshapa risasi bure ikawa kesi..
 
Back
Top Bottom