mwantui
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,639
- 845
Watoto watapatikana ebay.
Ndoa itafungwa skype.
Watoto watapatikana ebay.
nimdada mrembo wa haja na mwenye sura ya kuvutia, kwa mujibu wa picture ambazo amekua akinitumi.
Huyu dada tulikutana kwenye moja ya social net, tukapendana na kukubaliana kuwa wapenzi pindi nitakaporudi huko tz.
Leo baada ya kutoka kibaruani tukaanza kuchat kamakawaida, chaajabu akanitumi massege ya kuahidi kufika mapema ilikua ina maneno ya mahaba yakiambatana na shukrani kwa penzi (makatiko) alopewa.
Nilipo muuliza kuhusu hiyo massege, amekaa kimya na nikimpigia cm hapoke.
Hadi nalileta kwenu wadau, nimekosa usingizi na sijui lakufanya.
Una maneno weweeeee Washawasha
Simplicity ninaomba umshauri huyu....yale yale ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia akiwa abroad
Haya mapenzi banah! Mi ndo mana nimeyapa likizo ya miaka8 ijayo ndo ntasumbuka nayo tena.
Hahaaahaaaa...............!!
Mkuu, asante kwa neno, teh..teehh......teeehhhh.......
Ukute anamtumia na hela ya ujenzi. ... Baadaye wanapigana bastola....