Roho inaniuma. Amekosea maessage akaituma kwangu.

Roho inaniuma. Amekosea maessage akaituma kwangu.

hapo bado hujamlala teyari unakosa usingizi,je ungemlala si ndio ungejiua kabisa? hakuna mapenzi kama hayo we ukifika bongo utawakuta wanawake wako kibao.
Nalog off
 
mkuu anza kuurekebisha moyo wako, mungu amekupenda. Sasa ukimng'ang'ania shauri yako utakuja kuendeleza tamthilia ya ufoo

Mkuu, Sina mpago wa kuingia kwenye orodha ya muendelezo wa mauaji
 
we jamaa itakua wa ushirombo ! sasa demu hamjaonana unaumia kichwa ch nini? hebu ng'oa mtoto huko huko mbele.

Mkuu, kaa kimya. Madem wa mbele ni wazuri kwa kuwaona kwenye picture na kwakusimuliwa.
Lakini, mmmmhhhhh.................!!
 
Mkuu anza kumsahau taratibu,hata mimi nilishawahi kumbana na hali hiyo.Kwa kifupi sikutaka tena maelezo.Mwanamme chukua uamuzi haraka,kabla bastola haijakuteka.

Asante mkuu, ushauri wako taufanyia kazi
 
Hebu kuwa mwangalifu,mungu ameamua kukuonesha kuwa huko unapotea.
Jipe moyo utampata wa kukufaa huyo hapana.
 
hapo bado hujamlala teyari unakosa usingizi,je ungemlala si ndio ungejiua kabisa? hakuna mapenzi kama hayo we ukifika bongo utawakuta wanawake wako kibao.
Nalog off

Hahaaahaaaa...............!!
Mkuu, asante kwa neno, teh..teehh......teeehhhh.......
 
hahaaa, hi kali mkuu nimeipenda. Mnakutana online hata kuonana bado na mnaahidiana mambo kibao.
Mwisho wa ck mtafunga ndoa hukohuko online, sasa sijui watoto mtazaaje?

Watazaa "online" mkuu...hiki si kizazi cha dijitali!!!!
 
Nimdada mrembo wa haja na mwenye sura ya kuvutia, kwa mujibu wa picture ambazo amekua akinitumi.
Huyu dada tulikutana kwenye moja ya social net, tukapendana na kukubaliana kuwa wapenzi pindi nitakaporudi huko Tz.
Leo baada ya kutoka kibaruani tukaanza kuchat kamakawaida, chaajabu akanitumi massege ya kuahidi kufika mapema ilikua ina maneno ya mahaba yakiambatana na shukrani kwa penzi (makatiko) alopewa.
Nilipo muuliza kuhusu hiyo massege, amekaa kimya na nikimpigia cm hapoke.
Hadi nalileta kwenu wadau, nimekosa usingizi na sijui lakufanya.

usije ukafanya huu uamuzi!!!

una madhara sana!
Hkmp5count-terr-wiki.jpg
 
Tulivyokuwa SHYCOM miaka hiyo siku .za kwenda Mataani tulikuwa tunaita ushiboy uzururaji shiyinga... Nimeipenda jina lako dogo...
 
Last edited by a moderator:
Simplicity ninaomba umshauri huyu....yale yale ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia akiwa abroad

Mwache aje na revised version ya thread ili tupate story next time. Watu wameuziwa hadi picha za maghorofa ya Posta sembuse picha ya mwanamke. Halafu hiyo picha katumiwa makusudi, mtu mwenyewe wala hayupo hivyo, ameidownload kutoka faces.com., si anajua ushiboy ndio ugonjwa wake!
 
Tulivyokuwa SHYCOM miaka hiyo siku .za kwenda Mataani tulikuwa tunaita ushiboy uzururaji shiyinga... Nimeipenda jina lako dogo...

Mkuu, usipojiangalia unaweza ukamipa shamoo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom