the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,373
hivi ingelikuwa kweli kwamba anaumwa alafu itokee kwamba hakuwa na hela ungemsaidia vipi katika issue za hospital?Best mi sio tegemez hata kidogo ninabiashara yangu inanilipa tu
Nadhan imetokea tu kanipigia sikua nyumban na aliniambia yuko hoi anaumwa kwel sikurud hata nyumban kuchukua hela,,,bht nzur nilikua na hela kwenye manyonyo tena ulikua ya upatu,, ikabidi niende nafika ananiambia nilikumiss nikuone tu,,,,
Asubuh kaamka namwambia unajua sina nauli akaniambia poa
Ohhooo......bila shaka mdomo wako umebaki wazi mkuu
Rogie comments zako zanikoshaYaani mwanaume nae hajiongezi? Kaona mpenzi kaja bila hata mkoba nae haulizi nauli unayo mpenzi?
Kama hana Jamani kunakukosaLakini wanawake pia wawe makini am sure huyu jamaa hajaanza that day. How do you continue giving him papuchi aise!!
Niceumemuelewa mama pita lakini ebu msome tena vizuri
ila some time wanaume tunazingua sana tena sana hasa tukipata DEMU ganda la ndizi tunakuwa tunazingua mpk wanachoka wanalala kona haiwezekani demu/mchumba wako aje kwako alale usiku kucha Asubuh unashindwa kumpa hata elf tano ya nauri kisa tu anafanya kazi hata kama ndio ana kazi yaje ila mwanaume ni mwanaume tu unatakiwa ujiongeze
tunasahau kuwa
HUDUMA zikiwa DUNI na
UAMINIFU unakuwa DUNI
Sasa Mama Pita Kwann Usimwambie Pita Akuletee Pochi Yako Au Akutumie Pesa Iliyopo Kwenye Pochi Yako??Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Hahaaaa. Saa nyingine mapenzi hayana tofauti na kutia mkono kizanijamaa kamvuruga kichwa kabisaa afu ukute jamaa kala na tunda... kwelii wanawake mna kazi nzito kuweza kumjua yupi mkweli na yupi si mkweli poleni sana mkuu
My sumbai siyo substitute.. Hana mbadala.Mbadala(substitute) wa Sumbai nipo hapa nakucheki tu!!
Akikosekana yeye basi sasa utaishije bila dyudyu kwa mfano?!
Ninampenz wangu tuna muda kama miez 6 hv..
Jana aliniita kwake kua anaumwa ajisikii poa nami nikaenda kwake kama kumuona kufika kumbe mtu mzima tu et nilitaka nijue kama unanipenda
Sababu mda ulikua umeenda nikaamua kulala kwake
Kilichoniuma tumelala asubuh kaamka kaenda kazini mi naamka hajaniachia hata nauli sijakaa kama dakika 20 hv akarudi alisahau kitu mi sikuambia kitu nikafikiria labda alisahau kama binadam au alikua ninayo,,,kumbe aliacha 500 mezan akairudia akaichukua
Nimeamka sina nauli kibaya nikwamba alivyonishtua anaumwa hata poch niliacha nyumban....
Wapendwa nimeumia sana maana nimehangaika nimemtumia msg my sina nauli...kakaa kimya hajajibu mpaka sasa hv nilichokifanya nikamwambia rafik yangu akanitumia...
Moyo umeniuma sana kwel kwa mtu unaempenda kwel unamfanyia hivyo.. Wht if nisingepata mtu wakumitumia
Aaaah kwanza umenikumbusha, ngoja nimbane kabla hatujaenda kazini anipee.Akikosekana yeye basi sasa utaishije bila dyudyu kwa mfano?!