Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
ndo shida ya kuwa na wamiliki wa klabu wavuta bange
huyu jamaa p.mbavu kabisa aisee,,,,yaani ameshasahau kwua RDM ndo aliwapa kombe la UEFA katika HISTORY ya chelsea kwa mara ya kwanza
leo anafukuzia mbali wakati vijana wanafanya fresh tu EPL
Mi sio mshabiki wa chelsea ila hii makitu imeniuma sana. Mbina makocha wengina hawafukuzwi hivi? pep gurdiola akiingia hapo, anadhani ndo mwarobaini? atampa freedom kama alokuwa nayo FC barcelona?
Anataka Fernadno Torres apangwe tu hata kama hawezi kufunga? daaaaamn