HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,363
- 94,543
Wameenda mechi kibao bila ushindi kumbuka,Swansea,Liverpool,WBAlbion,Juventus
Hiv hata kama ni ww umetoa hela kikosi kizuri unaona tactics ndio mbaya utafanya nn?
Na inaonesha hata kama asingefukuzwa leo jtatu angetimuliwa baada ya Mancity match
Hiv hata kama ni ww umetoa hela kikosi kizuri unaona tactics ndio mbaya utafanya nn?
Na inaonesha hata kama asingefukuzwa leo jtatu angetimuliwa baada ya Mancity match